TATIANA IN ZE TOWN Bashir Nkoromo 3/31/2010 0 BALOZIi wa ugojwa wa Matende (ELEPHANTIASIS DISEASE) kwa nchi za Mashariki na Afirica ya kati (Ambassador for Elephantiasis disease in East... Read more »
MCHAKATO WA KUMPATA MRITHI WA MAXIMO UMEIVA, 59 WAJIOTOKEZA KUOMBA ULAYA WAKIONGOZA. Bashir Nkoromo 3/31/2010 0 NCHI za Ulaya zimeongoza katika kuwa na waombaji wengi kati ya waliojitokeza kuwania kazi ya ukocha mkuu wa timu ya taifa, Taifa Stars ambay... Read more »
KILI TAIFA CUP YAZINDULIWA LEO, KUANZA KUTIMUA VUMBI MEI Bashir Nkoromo 3/30/2010 0 MICHUANO ya soka ya Kombe la Taifa 'Kili Taifa Cup' mwaka huu itashirikisha pia timu ya taifa ya vijana chini ya miaka 20 (U20). ... Read more »
FRED MPENDAZOE AZOLEWA NA CCJ Bashir Nkoromo 3/30/2010 0 ALIYEKUWA Mbunge wa Kishapu kwa tiketi ya CCM, Fred Mpendazoe akizungumza na waandishi wa habari leo katika ukumbi wa Idara ya Habari (Maele... Read more »
JK AKABIDHIWA MISAADA NA WACHINA Bashir Nkoromo 3/30/2010 0 RAIS Jakaya Kikwete, akipanda pikipiki aliyokabidhiwa na Balozi wa China nchini, Liu Xingshen (kushoto), Ikulu, mjini Dar es Salaam, leo amb... Read more »
WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA ZIARANI VIETNAM Bashir Nkoromo 3/30/2010 1 PINDA akimtambulisha, Waziri wa Kilimo na Chakula , Stephen Wasira pamoja na wajumbe wa msafara wake kwa Waziri Mkuu wa Vietnam, Nguyen Tan ... Read more »
MNEC-CCM AWAPA WAZAZI OFA YA PUNGUZO 40% KUSOMESHA WATOTO SHULE YAKE YA ST. ANNE MARIE Bashir Nkoromo 3/28/2010 0 MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Jason Rweikiza akifungua ofisi ya CCM tawi la Msingwa, Kata ya Mbezi Dar es Salaam, jana. R... Read more »
SIKU MAKAMBA ALIPOJIANDIKISHA UPYA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGAKURA, WAZO Bashir Nkoromo 3/28/2010 0 Alianza hivi.... Katibu Mkuu wa CCM Yussuf Makamba akijiandisha katika daftari la kudumu la wapiga kura kwenye kituo cha Wazo A, karibu na n... Read more »
AJALI NYINGINE KATIKA ENEO LILE LILE LILILOTEKETEZA ROHO ZA WATU KUMI KIBAMBA JUZI Bashir Nkoromo 3/27/2010 0 WATU wakimsaidia abiria katika basi dogo aina ya Isuzu ambaye alipoteza fahamu baada ya basi hilo kukwanguliwa rishani na loro ambalo lilito... Read more »
SERENGETI YAIPA STARS MILIONI 50 KWA AJILI YA MECHI YAKE NA SOMALIA Bashir Nkoromo 3/26/2010 0 OFISA Uhusiano Mwandamizi wa Kampuni ya bia ya Serengeti(SBL), Imani Lwiga akimkabidhi mfano wa hundi ya sh. milioni 50 Katibu Mkuu wa Shiri... Read more »
YANGA KUMSIMAISHA KAZI MHASIBU WAKE KWA MADAI YA KASHA YA KUUZA TIKETI FEKI Bashir Nkoromo 3/26/2010 0 MWENYEKITI wa Yanga, Imani Madega akizungumzia sakata la mweka hazina wa timu hiyo God Mwenje kukamatwa na polisi kwa tuhuma za kuuza tiketi... Read more »
KILIMANJARO PREMIUM KWA KUSHIRIKIANA NA BASATA WATANGAZA NYIMBO NA WASANII WATAKAOCHUANA TUNZO YA MUZIKI TANZANIA Bashir Nkoromo 3/25/2010 0 KAMPUNI ya Bia Tanzania kupitia Bia yake ya Kilimanjaro Premium kwa kushirikiana na Barza la Sanaa Tanzania (BASATA) leo wametangaza wateule... Read more »
WATU KUMI WAMEKUFA PAPO HAPO KATIKA AJALI YA DALADALA KUANGUKIWA NA LORI KIBAMBA LEO Bashir Nkoromo 3/25/2010 0 HIVI ndivyo hice lilivyoangukiwa na kupondwa vibaya na lori lenye tanki la mafuta, na kusababisha vifo vya watu kumi leo!!!!! STORI WATU w... Read more »
MWENYEKITI WA CCM, TAIFA, RAIS JAKAYA KIKWETE ATINGA KATIKA OFISI YAKE YA UENYEKITI WA CHAMA, OFISI NDOGO YA MAKAO MAKUU YA CCM, LUMUMBA, DSM Bashir Nkoromo 3/24/2010 0 HABARI KATIKA PICHA HALI ilivyokuwa kwenye Ofisi Ndogo ya Makao makuu ya CCM, mtaa wa Lumumba, jijini Dar es Salaam, wakati akisubiriwa Mwen... Read more »
STARS IKIJINOA LEO KWA MECHI YAKE YA 'CHAN' NA SOMALIA Bashir Nkoromo 3/24/2010 0 WACHEZAJI wa timu ya taifa, Taifa Stars, Shadrack Nsajigwa (kushoto) na Nurdin Bakari, wakichuana kuwania mpira, timu hiyo ilipofanya mazoez... Read more »