tiGo YAZAWADIA MSHINDI Bashir Nkoromo 11/30/2010 0 OFISA Uhusiano wa kampuni ya simu za mkononi ya Tigo, Jackson Mmbando (kulia) akikabidhi zawadi ya hundi ya sh. milioni kumi kwa mshindi wa ... Read more »
STARS YAIKUNGUTA SOMALIA 3-0 Bashir Nkoromo 11/30/2010 0 MSHAMBULIAJI wa Kilimanjaro Stars, Thomas Ulimwengu (kulia), akimkabili Anwar Ibrahim wa Somalia, timu hizo zilipomenyana kwenye Uwanja wa T... Read more »
PEACOCK HOTEL KUADHIMISHA MIAKA KUMI YA USIKU WA MTANZANIA Bashir Nkoromo 11/30/2010 3 Kiongozi wa bendi ya DDC Mliman Park, wana Sikinde ngoma ya ukae, Habibu Mgalusi akizungumza na waandishi wa habari jinsi bendi hiyo itakavy... Read more »
KOMBE LA CHALENJI: MALAWI YAITUNGUA KENYA 3-2 Bashir Nkoromo 11/29/2010 0 MSHAMBULIAJI wa harambee stars akishambulia langoni mwa Malawi, timu hizo zilipomenyana leo katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, leo kweny... Read more »
RAIS KIKWETEAKUTANA NA BARAZA LAKE JIPYA LA MAWAZIRI Bashir Nkoromo 11/29/2010 0 RAIS Jakaya Kikwete akizungumza na mawaziri wake, leo Ikulku mjini Dar es Salaam Mawaziri wote wakiwa katika kikao hicho na rais Kikwete leo... Read more »
PROFESA ANNA TIBAIJUKA AKABIDHIWA OFISI NA CHILIGATI Bashir Nkoromo 11/29/2010 1 Aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Makazi Mh. John Zefania Chiligati (kushoto) akimkabidhi nyaraka mbalimbali za kutendea kazi Waziri mwen... Read more »
BAADA YA KIMUHEMUHE CHA MAWAZIRI KUPITA SASA NI WAKUU WA MIKOA, WILAYA Bashir Nkoromo 11/29/2010 1 Wakuu wa mikoa wa sasa wakiwa kwenye maeneo yao. Mkoa wa dar es Salaam, weneyewe upo wazi kutokana na aliyekuwa mkuu wake, Wiliam LukuLukuvi... Read more »
MICHUANO YA CHALENJI: ZANZIBAR HEROES YATAKATA , YAIBOFYA SUDAN 2-0 Bashir Nkoromo 11/28/2010 1 Ali Ahmed Salum Shibiri akishangilia baada ya kuipachikia bao la pili na la ushindi, timu yake ya Zanzibar Heroes, timu hiyo ilipomenyana na... Read more »
JK AZINDUA MICHUANO YA KOMBE LA CHALENJI LA TUSKER; KILI STARS YALALA KWA ZAMBIA 1-0 Bashir Nkoromo 11/28/2010 0 Rais Kikwete akiongoza kusikiliza wimbo wa taifa kabla ya kuzindua rasmi michuano ya CECAFA ya Kombe la Chalenji la Tusker. pamoja naye ni, ... Read more »
JK AAPISHA MAWAZIRI WAKE WAPYA Bashir Nkoromo 11/28/2010 0 RAIS Kikwete, akiwa na Mawaziri wapya baada ya kuwaapisha, Ikulu mjini Dar es Salaam. Pamoja naye ni Makamu wa Rais, Dk. Bilal na Waziri Mku... Read more »
Bashir Nkoromo 11/27/2010 0 RAIS wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (CECAFA), Leodeger ... Read more »
JK KUAPISHA BARAZA JIPYA ASUBUHI HII, IKUKU MJINI DAR ES SALAAM Bashir Nkoromo 11/27/2010 0 Chuo Kikuu Cha Dodoma Jana kiliwatunuku Shahada ya Heshima ya Udaktari (Doctor Honoris Causa), Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete na Marehemu Mz... Read more »
MAADHIMISHO YA MIAKA 5O YA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM (UDSM) YAANZA Bashir Nkoromo 11/27/2010 1 Huu ndio viongozi wa Chuo Kikii cha Dar es Salaam, hadi kufikia Rwekaza Mukandara wa sasa WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda, akisalimiana na Makamu ... Read more »
CHUO KIKUU CHA DODOMA CHAZINDULIWA RASMI LEO Bashir Nkoromo 11/25/2010 0 Rais.Dr.Jakaya Mrisho Kikwete, Makamu wa Rais Dr.Mohamed Gharib Bilal na Rais Mstaafu awamu ya tatu Benjamin William Mkapa wakikata utepe k... Read more »
SOKA: VIPAJI KWANZA Bashir Nkoromo 11/25/2010 0 MCHEZAJI wa timu ya kituo cha kukuza vipaji ya soka cha Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Abuu Moshi (kushoto) akipambana na mchezaji wa t... Read more »
BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI HILI HAPA Bashir Nkoromo 11/24/2010 0 RAIS Jakaya Kikwete akitangaza Baraza lake jipya la Mawaziri (Picha na Freddy Maro) 1. Ofisi ya Rais (Utawala Bora):- Mathias Chikawe ... Read more »
BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI KUTAJWA LEO Bashir Nkoromo 11/24/2010 1 ILE kiu ya kutaka kujua nani watakuwemo katika Baraza jipya la Mawaziri la awamu ya pili ya miaka mitano ijayo ya Rais Jakaya Kikwete, wali... Read more »
KILI STARS YAIFUNGA KABAO KAMOJA HARAMBEE STARS Bashir Nkoromo 11/23/2010 0 MSHAMBULIAJI wa Timu ya Taifa ya Tanzania Bara (Kilimanjaro Stars), Mrisho Ngasa (kulia) akipambana na Stephen Ocholla wa timu ya Taifa ya ... Read more »
MATAKWA YA WANANCHI YAZINGATIWE KURA YA MAONI SUDANI KUSINI Bashir Nkoromo 11/23/2010 0 KATIBU MKUU WA UMOJA WA MATAIFA, BAN KI MOON AKIBADILISHANA MAWAZO NA WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA UINGEREZA BW. WILLIAM HAGUE MUDA MFUPI KABLA... Read more »
JK KUTANGAZA BARAZA LAKE LA MAWAZIRI KESHO JUMATANO Bashir Nkoromo 11/23/2010 0 UNITED REPUBLIC OF TANZANIA DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS Telephone: 255-22-2114512, 2116539 E-mail: press@ikulu.go.tz Website:... Read more »
JK AMTUMIA SALAM ZA RAMBIRAMBI UVCCM Bashir Nkoromo 11/23/2010 0 UNITED REPUBLIC OF TANZANIA DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS Telephone: 255-22-2114512, 2116539 E-mail: press@ikulu.go.tz Website... Read more »
BURIANI 'JENERALI' JUMA MKAMBI Bashir Nkoromo 11/23/2010 0 JENEZA lenye mwili wa marehemu 'Jenerali' Juma Mkambi ukifikishwa katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam, tayari kwa mazish... Read more »
RAIS WA COMORO AMTEMBELEA JK IKULU LEO Bashir Nkoromo 11/22/2010 0 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Ikulu jijini Dar es Salaam , Rais wa Muungano wa Visiwa vya Comoro Ahmed Abdallah Mohamed Sambi leo... Read more »
MBIO ZA UMEYA: WALIOCHUKUA FOMU ILALA WAKAMILISHA KUZIJAZA NA KUZIAREJESHA Bashir Nkoromo 11/22/2010 0 JUMLA la madiwani wateule wanne waliochukua fomu za kugombea umeya katika manispaa ya Ilala wamerudisha fomu hizo. Kwa mujibu wa Katibu wa... Read more »
MWENYEKITI WA CHADEMA MKOA WA MBEA AJIUZULU Bashir Nkoromo 11/22/2010 1 MWENYEKITI wa CHADEMA Mkoa wa Mbeya,Sambwee Shitambala (pichani), ambaye pia alikuwa mgombea ubunge Jimbo la Mbeya Vijijini amejiuzuru naf... Read more »
ZANZIBAR HEROES NA DAR ALL STAR ZASHINDWA KUTAMBIANA Bashir Nkoromo 11/21/2010 0 MCHEZAJI wa timy ya Kombaini ya 'Dar All Star' Rashidi Gumbo 'kushoto' akipambana na mchezaji wa Timu ya Taifa ya Zanzibar (... Read more »
BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI LANUKIA Bashir Nkoromo 11/21/2010 0 Wakati wengine wamekwisha jihakikishia kutorudi kutokana na kuanguka ubunge. kwa kutochaguliwa au kuteuliwa na Rais katika viti vyake kumi, ... Read more »
JK NA MWANDOSYA ENZI HIZO Bashir Nkoromo 11/20/2010 0 Kwa sababu ninaelewa wapenzi watembeleaji wa Blogu hii mtakuwa na maoni mbalimbali kuhusu picha hii, sitaweka maelezo yanayoishusu lakini kw... Read more »
MAHAFALI YA 45 YA CBE DAR ES SALAAM Bashir Nkoromo 11/20/2010 0 JAMILLAH Kunenge ambaye ni miongoni mwa wahitimu 1824 waliokuwa kwenye mahafali hayo ya 45 ya Chuo Cha Elimu ya Biashara (CBE), akiwa mwenye... Read more »
JK ASAKATA MUZIKI NA MREMA, ASALIMIWA KWA HESHIMA NA SHIBUDA DODOMA Bashir Nkoromo 11/19/2010 2 "Hongera Mheshimiwa Rais" Mbunge wa Maswa Magharibi(CHADEMA) Mh.John Shibuda akimsalimia Rais Jakaya Kikwete wakati wa hafla ya ku... Read more »
VODACOM TANZANIA YAWAKABIDHI MAGARI YAO LEO WASHINDI 100 WA SHINDA MKOKO NA VODACOM Bashir Nkoromo 11/19/2010 1 Miongoni mwa mikoko 100 waliyokabidhiwa washindi leo Mkurugenzi wa Biashara na Masoko wa kampeni ya kuuza magari ya Hyundai, Irene Kwimber... Read more »