Breaking News

Your Ad Spot

Dec 28, 2010

STARS WAANZA KUJIFUA

WACHEZAJI wa timu ya Taifa, Taifa Stars, wakifanya mazoezi katika Uwanja wa Uhuru mjini Dar es Salaam, LEO 
WACHEZAJI Nizar Khalfan (kushoto) na Athumani Machupa, wakishiriki katika mazoezi ya timu ya taifa, Taifa Stas, jana katika Uwanja wa Uhuru mjini Dar es Salaam 
 WACHEZAJI wa Kimataifa, Saidi Maulidi (kushoto) na Athumani Machupa, wakifanya mazoezi huku Kocha wa timi hiyo Sylvester Masha (katikati) akiwafuatilia kwa makini, Taiafa Stars ilipofanya mazoezi, katika Uwanja wa Uhuru mjini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages