TSAVANGIRAI AMTEMBELEA JK IKULU Bashir Nkoromo 3/31/2011 0 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na Waziri Mkuu Zimbabwe Morgan Tsvangirai, Ikulu jijini Dar es Salaam leo asubuhi (Fred... Read more »
MBUNGE WA MCHINGA AIPIGA TAFU UHURU QUEENS Bashir Nkoromo 3/31/2011 0 Mbunge wa Jimbo la Mchinga Mheshimiwa Said Mtanda , jana amefanya mambo yazidi kuwa mazuri kwa timu ya netiboli ya Uhuru Queens kwa kuipati... Read more »
DK.BILAL ATOA POLE TETEMEKO LA TSUNAMI LILILOTOKEA JAPAN Bashir Nkoromo 3/31/2011 0 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dk. Mohamed Gharib Bilal, akisalimiana na Balozi wa Japan Nchini Tanzania Mhe. Hirosh... Read more »
NAIBU WAZIRI MAWASILIANO, SAYANSI NA TEKNOLOJIA ATEMBELEA ZANTEL Bashir Nkoromo 3/31/2011 0 OFISA Mkuu wa Teknolojia katika Kampuni ya Zantel, Moncef Mettiji wa pili (kulia) akimuonyesha moja ya mitambo ya mawasiliano ya kampuni hiy... Read more »
BAADA YA KUZOA TIZO KIBAO TANZANIA KILI MUSIC AWARDS 20% ALONGA Bashir Nkoromo 3/31/2011 1 *Asema hapendi sifa bila ushahidi *Anajiita 20% kwa sababu ya akili na maisha anayoishi *Asema anaandika nyimbo zake katika fikra za Ki-h... Read more »
YANGA YAILAMBA AZAM FC 2-1 Bashir Nkoromo 3/31/2011 0 Beki wa Yanga, Shadrack Nsajigwa (kushoto) akijaribu kumthibiti mshambuliaji wa Azam FC, Mrisho Ngassa, timu hizo zilipomenyana leo, kwenye... Read more »
MBUNGE WA MCHINGA ASAINI KITABU MAAFA YA TSUNAMI JAPAN Bashir Nkoromo 3/29/2011 0 MBUNGE wa Mchinga, Saidi Mtanda akitia saini kitabu cha maombolezo ya maafa ya tetemeko la Tsunami yaliyotokea Japan, mapema mwezi huu,leo k... Read more »
RAIS KIKWETE AKAGUA AKIBA YA CHAKULA; ATEMBELEA WIZARA YA SOPHIA SIMBA Bashir Nkoromo 3/28/2011 1 RAIS Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akikagua akiba ya chakula katika ghala linalohifahdi akiba ya chakula ya Taifa( National food Reserve Agency)... Read more »
TUWAENZI WAHANGA WA BIASHARA YA UTUMWA-BAN KI MOON Bashir Nkoromo 3/28/2011 0 Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon, kushoto wake ni Naibu wake, Dkt. Asha-Rose Migiro na kulia Bw. Joseph Deiss, Rais wa Baraza K... Read more »
UONGOZI WA VODACOM WAMTEMBELEA JK IKULU Bashir Nkoromo 3/27/2011 0 Rais Jakaya Kikwete, akisalimiana na Ofisa Mtendaji Mkuu wa kampuni ya simu za mkononi, ‘Vodacom Group’ , Pieter Uys, wakati wa ujumbe wa k... Read more »
KANGOYE AONGOZA MAANDAMANO KUUNGA MKONO HOTUBA YA JK Bashir Nkoromo 3/27/2011 0 MKUU wa wilaya ya Kwimba mkoani Mwanza, Christopher Kangoye, akipokea maandamano ya zaidi ya sungusungu na wananchi 2,000, katika maand... Read more »
DMI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI Bashir Nkoromo 3/27/2011 0 Baadhi ya wafanyakazi wa DMI na mgeni rasmi (walioko upande wa kulia) wakitazama bidhaa za nguo kwenye maonye... Read more »
STARS YAILAZA AFRIKA YA KATI 2-1 Bashir Nkoromo 3/26/2011 0 Timu ya Taifa, Taifa, Stars imefanikiwa kuifunga Afrika ya Kati mabao 2-1, katika Mechi ya awali kuwania kufuzu fainali za Kombe la Mataifa... Read more »
JK APOKEA UJUMBE KUTOKA KWA EL BASHIR WA SUDAN Bashir Nkoromo 3/25/2011 0 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akipokea ujumbe maalumu wa Rais Omar El Bashir wa Sudan kutoka mjumbe maalum ambaye pia ni Waziri wa mambo ya... Read more »
NMB YAIPA VIFAA STARS Bashir Nkoromo 3/25/2011 0 Mkuu wa kitengo cha Masoko na Mawsiliano wa Benki ya NMB, Imani Kajula, akikabidhi vifaa vya michezo kwa Mkurugenzi wa ufundi wa TFF, Sunday... Read more »
RAIS KIKWETE ATINGA WIZARANI KWA PROF. MWANDOSYA Bashir Nkoromo 3/24/2011 1 Rais Jakaya Kikwete akisalimia wafanyakazi baada ya kuwasili Ofisi za Wzara ya Maji, Ubungo, Dar es Salaam, leo asubuhi. Rais Kikwete akiwa ... Read more »
WAZIRI SAMIA AKUTANA NA BALOZI WA NORWAY Bashir Nkoromo 3/24/2011 0 Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano Bi. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Balozi wa Norway Nchini Tanzania Bi. Ingunn Klepsvik ... Read more »
SERENGETI BEER YAIPA STARS MILIONI 100 KWA AJILI YA MECHI YAKE NA AFRIKA YA KATI: VIJANA NAO WAONDOKA LEO KWENDA CAMEROUN Bashir Nkoromo 3/24/2011 0 KAMPUNI ya Bia ya Serengeti (SBL), imetoa sh. milioni 100, kusaidia timu ya Taifa, Taifa Stars katika mechi ya timu hiyo na Afrika ya Kati, ... Read more »
'SIFA ZA KIJINGA' Bashir Nkoromo 3/24/2011 0 Bango hili lipo kandoni mwa Barabara ya Morogoro, eneo la Kimara Read more »
MSIBA FIVE STARS: TIZO MGUNDA AZIKWA MKURANGA LEO Bashir Nkoromo 3/23/2011 0 JENEZA lenye mwili wa aliyekuwa msanii wa Five Stars,Tizo Mgunda likiwa tayari kwa ajili ya kuswaliwa mwili huo, nyumbani kwao, Tandika , D... Read more »
SEMINA YA TCRA KIBAHA; NI KWA AJILI YA WATUMIAJI WA HUDUMA ZA MAWASILIANO Bashir Nkoromo 3/23/2011 0 SHEIKH wa Wilaya ya Kibaha mkoa wa Pwani, kutoka Baraza la Waislamu Tanzania (BAKWATA), Sheikh Husein Madenge, akijiandikisha katika daftar... Read more »
DK SHEIN AKABIDHIWA CHETI CHA KUSHINDA URAIS KATIKA UCHAGUZI MKUU ULIOPITA Bashir Nkoromo 3/23/2011 0 RAIS wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Sheni,akipokea hati ya uthibitisho ya kuchaguliwa kuwa Rais wa Zanzibar , na Cheti cha ushiriki mgombea ... Read more »
JK AZURU WIZARA YA UJENZI LEO Bashir Nkoromo 3/23/2011 0 Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na baadhi ya wafanyakazi wa wizara ya Uchukuzi muda mfupi baada ya kuwasili katika makao makuu y... Read more »
PROF MWANDOSYA ATEMBELEA TBL MWANZA Bashir Nkoromo 3/23/2011 0 Waziri wa Majii, Profesa Mark Mwandosya (kulia) Meneja wa Kiwanda cha TBL Mwanza, Richmond Raymond (kushoto) pamoja na Meneja Ubora wa Bidha... Read more »
MAJERUHI WA FIVE STARS TAARAB WAFIKA DAR Bashir Nkoromo 3/22/2011 0 Baadhi ya majeruhi wa Kundi la Muziki wa Taarab la Five Stars, wakiwa eneo la Equator Grill, Mtoni kwa Azizi Ally, Temeke Dar es Salaam, leo... Read more »
JK ATEMBELEA WIZARA YA UTUMISHI WA UMMA Bashir Nkoromo 3/22/2011 0 Msafara wa Rais Jakaya Kikwete ukiingia katika eneo la Ofisi ya Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, leo Rais Ki... Read more »
MSIBA WA KUFARIKI KWA AJALI WASANII WA FIVE STARS; SERIKALI YATOA TAMKO Bashir Nkoromo 3/22/2011 0 Read more »