RAIS KIKWETE KUFUNGUA MAONYESHO YA NANE NANE KESHO Bashir Nkoromo 7/31/2011 0 Rais Kikwete R AIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete kesho, Agosti Mosi, 2011, atakuwa mgeni rasmi ka... Read more »
RISALA YA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHAN Bashir Nkoromo 7/31/2011 0 Dk. Shein Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk Ali Mohamed Shein, akisoma risala ya maalum ya kuukaribisha... Read more »
KAMATI KUU YA CCM YAKUTANA DOM Bashir Nkoromo 7/31/2011 0 Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais, Dk Jakaya Kikwete, akiendesha kikao cha Kamati Kuu ya CCM a leo katika ukumbi wa Makao Makuu ya Chama Mj... Read more »
VODACOM YATUMIA 'SUPERMAN' KUNADI HUDUMA YA M-PESA Bashir Nkoromo 7/31/2011 0 KAMPUNI ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania imeipatia huduma yake M-PESA muonekano mpya kuendana na kaulimbiu ya 'kazi ni kwako' amb... Read more »
JK AKUTANA NA MSHAURI WA KATIBU MKUU WA UN, PROF SACHS Bashir Nkoromo 7/30/2011 0 Rais Dr.Jakaya Kikwete akimkaribisha Ikulu, Prof. Jeffrey Sachs mshauri maalum wa Katibu mkuu wa Umoja wa mataifa jijini Dar es Salaam leo(p... Read more »
VODACOM FAMILY DAY HII Bashir Nkoromo 7/30/2011 0 Baadhi ya wafanyakazi wa Vodacom Tanzania wakiwashangilia watoto walioshiriki katika michezo mbalimbali siku ya “ Vodacom family day”in... Read more »
AJALI YA BASI MOSHI: RAIS KIWETE ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KWA MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO Bashir Nkoromo 7/29/2011 0 TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete (Pichani), amemtumi... Read more »
AJALI YA BASI MOSHI, CCM YATOA POLE KWA MAJERUHI Bashir Nkoromo 7/29/2011 0 Katibu wa CCC mkoa wa Kilimanjaro,Steven Kazidi (kulia), akipatamaelezo kutoka kwa muuguzi mkuu wa Hospital ya Rufaa ya KCMC, Redem... Read more »
MAHAFALI YA TATU YA DARASA LA SABA SHULE YA AWALI NA CHEKECHEA YA SUNRISE Bashir Nkoromo 7/29/2011 0 Waziri wa zamani wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Margareth Sitta akiwa na wahitimu wa darasa la saba wakati wa mahafali hayo yaliyo... Read more »
CCM DAR YALAANI WABUNGE KUDHARAU BUNGE Bashir Nkoromo 7/29/2011 0 NA MWANDISHI WETU CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Dar es Salaam, kimelaani vitendo vya baadhi ya wabunge wa CHADEMA kuendeleza tabia ya k... Read more »
BREEKING NYUUUUUUUUZZZZZ Bashir Nkoromo 7/28/2011 0 MAHAKAMA YAMWACHA HURU MSHITAKIWA KESI YA RICHMOND Gire akitoka makamani leo Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mjini Dar es Salaam,... Read more »
MAREALLE AONYA JUU YA MAKUNDI CCM MOSHI Bashir Nkoromo 7/28/2011 0 Kamanda wa UVCCM wilaya ya Moshi mjini Aggrey Marealle akihutubia katika uzinduzi wa baraza kuu la CM Manispaa ya Moshi kuzi... Read more »
CHE MUNDUGWAO KUIBUKA UPYA Bashir Nkoromo 7/27/2011 2 Baada ya ukimya wa takribani mwaka mmoja bila kuonekana jukwaani nchi Tanzania, mwanamuziki mahiri wa muziki wenye viongo vya kiasili ya Tan... Read more »
ZIARA YA RAIS KIKWETE MTWARA Bashir Nkoromo 7/27/2011 0 Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete akimtwika ndoo ya maji bi.Zainab Yusuf Lidandi wakati Rais alipokagua na kuzindua mradi wa maji katika kijiji ... Read more »
JK AKUTANA NA VIONGOZI WA MADHEHEBU YA KIKRISTO Bashir Nkoromo 7/22/2011 0 Rais Jakaya Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa madhehebu ya Kikristo Tanzania baada ya kikao chao kilichofanyika katika uk... Read more »
KATIBU WA NEC OGANAIZESHENI ASHA ABDALLAH JUMA AJULIA HALI MAJERUHI WA BASI LA HOOD NA KUKAGUA UHAI WA CHAMA MOROGORO Bashir Nkoromo 7/22/2011 0 Katibu wa NEC, Oganaizesheni CCM, Asha Abdallah Juma akimpa pole Beatrice Mjenga ambaye ni mmoja wa majeruhi wa ajali ya basi Mikumi, Morogo... Read more »
LILIAN TIMBUKA KATIBU MPYA SHINA LA CCM UPL Bashir Nkoromo 7/22/2011 1 Msanifu wa kurasa wa Kampuni ya Uhuru Publications Ltd, Wachapishaji wa Magazeti ya Uhuru, Mzalendo na Burudani, Lilian Timbuka amechaguliw... Read more »
NGASA NA FABIO DA SILVA Bashir Nkoromo 7/22/2011 0 Kwa habari zaidi za mechi hiyo soma Uhuru la leo au peruzi www.uhurupublications.com Read more »
SHARAMA: NIMEKUJA TZ KUWASHIKA Bashir Nkoromo 7/22/2011 0 Ramadhani Chambo Msanii mkali wa hip hop kutoka nchini Kenya Ramadhani Chambo anaejulikana kwa jina la Sharama amesema ameamua kuja kufan... Read more »
BREEKING NYUUUUUUUUZZZZZ Bashir Nkoromo 7/21/2011 0 SAKATA LA BARUA: JAIRO ASIMAMISHWA KAZI Katibu Mkuu Kiongozi Philemon Luhanjo akizungumza na waandishi wa habari leo mjini Dodoma. ... Read more »
MATUKIO ZIARA YA RAIS KIKWETE AFRIKA KUSINI Bashir Nkoromo 7/21/2011 0 Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete na mwenyeji wake Rais Jackob Zuma wa Afrika ya Kusini wakigonga glasi wakati wa dhifa ya kitaifa iliyoandaliwa... Read more »
MWILI WA NAIBU MKURUGENZI WA MAELEZO WAAGWA DAR, KUZIKWA KESHO MTO WA MBU ARUSHA Bashir Nkoromo 7/21/2011 0 Mwili wa Naibu Mkurugenzi wa Idara ya Habari (Maelezo) Sozzy Mahmoud aliyefariki dunia usiku wa kuamkia jana umesafirishwa leo kwenda Mto wa... Read more »