ENZI ZA MWALIMU NYERERE

Thursday, February 23, 2012

IDADI YA WATU WALIOSOMA HABARI HII: counter
Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere akiwa na safu yake ya viongozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Zanzibar kwenye Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui, Zanzibar enzi hizo. Kwa haraka haraka unaweza kuwaona Mzee Kawawa, Aboud Jumbe, Mzee Cleopa Msuya, Edward Sokoine, Dk. Salmin Amour na Dk. Salim Ahmed Salim.

0 Comments: