MIJIZI YAKOMBA HADI BASTOLA KATIKA OFISI YA DK. CHEGENI, MWANZA Bashir Nkoromo 7/31/2012 1 Dk. Cheni Habari tulizopata kutoka jijini Mwanza zinasema, Mbunge wa zamani wa Jimbo la Busega wilayani Magu, Dk. Raphael Chegeni, ameib... Read more »
USHIRIKI WA KUTOA MAONI KATIBA MPYA Bashir Nkoromo 7/31/2012 0 Bw. Khamis Said Abdalla (47), mkazi wa Shehia ya Madungu, Wilaya ya Chakechake, Mkoa wa Kusini Pemba, ambae ni mlemavu, akitoa maoni yake ku... Read more »
DK ASHA ROSE MIGIRO AKUTAKA NA JAJI WARIOBA Bashir Nkoromo 7/31/2012 0 Aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Dkt. Asha-Rose Migiro (kushoto) akimsikiliza Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Jaj... Read more »
AJALI YA KUZAMA MELI ZANZIBAR: GRANDMALT NA ZIF WATOA POLE Bashir Nkoromo 7/31/2012 0 Meneja masoko wa Kinywaji cha Grandmalt Fimbo Buttalah Kulia akimkabidhi makamu wa pili wa Rais wa serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Balozi ... Read more »
MSHINDI WA TANZANIA DRIVER OF THE YEAR 2011 KUSHIRIKI BINGWA WA MABINGWA MASHINDANO YA DUNIA YA UDEREVA Bashir Nkoromo 7/31/2012 0 DAR ES SALAAM, TANZANIA Kampuni ya Scania leo imeandaahaflafupikumuagamshindiwamashindanoyamaderevayanayojulikanakama“Tanzania Driver Of The... Read more »
CCM YAMSHUKIA TUNDU LISSU Bashir Nkoromo 7/31/2012 0 *Y adai orodha ya Lisu inalenga kupotosha tuhuma za rushwa zinazowakabili baadhi ya wabunge *Anataka kuwaokoa wa Chadema katika sakata hilo... Read more »
NAPE,SHIGELLA WANA PRESS FONFERENCE LEO Bashir Nkoromo 7/31/2012 0 Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye atakafanya mkutano saa 5 ASUBUHI, katika ukumbi wa Sekretarieti, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya... Read more »
RAIS AOMBOLEZA KIFO CHA MBUNGE WA ZAMANI WA KILOSA Bashir Nkoromo 7/29/2012 0 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mheshimiwa... Read more »
POLISI WASTAAFU WAUNDA CHAMA, WAFANYA UCHAGUZI WA VIONGOZI Bashir Nkoromo 7/29/2012 0 NA FRANK GEOFREY, JESHI LA POLISI Chama cha Askari Wastaafu wa Jeshi la Polisi (TAPOA) kimefanya Uchaguzi wake wa Viongozi katika nyadhifa m... Read more »
AIRTEL YAZINDUA MNARA WA MAWASILIANO ENEO LA MISUNGWI, MWANZA Bashir Nkoromo 7/29/2012 0 Naibu waziri ofisi ya makamu wa Raisi Mh Charles Kitwanga akikata utepe kuashira uzinduzi wa Mnara wa mawasiliano uliojengwa na Airtel nje ... Read more »
VODACOM FOUNDATION YAFANYA MAMBO Bashir Nkoromo 7/29/2012 0 HABARI KATIKA PICHA BOFYA TANZANIA VISION BLOG Read more »
JK ATETA NA KIKONGWE Bashir Nkoromo 7/29/2012 0 Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimjulia hali Bibi Antonia Mbagalla (85) katika kijiji cha Msoga, kata ya Chalinze Wilayani Bagamoyo wakat... Read more »
YANGA BINGWA TENA KOMBE LA KAGAME Bashir Nkoromo 7/28/2012 0 Yanga imefanikiwa kulitwaa tena Kombe la Kagame mwaka huu wa 2012, na hivyo kuutetea ubingwa wa kombe hilo iliokuwa inaushikilia. Imefani... Read more »
MKATABA WA KUDHIBITI BIASHARA YA SILAHA DUNIANI WAKWAMA Bashir Nkoromo 7/28/2012 0 Ujumbe wa Tanzania ambazo kwa mwezi mzima umeshiriki kikamilifu hadi usiku wa manane pale ilipobidi na kuhakikisha kwamba maslahi ya Tanza... Read more »
YANGA KUFANYWA KAMA SIMBA AU KUTETEA UBINGWA LEO? Bashir Nkoromo 7/28/2012 0 Tafadhali toa Maoni yako bure hapa! Read more »
TAARIFA YA SERIKALI KUHUSU MGOMO WA WALIMU Bashir Nkoromo 7/27/2012 0 THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: ikul... Read more »
RAIS KIKWETE AWEKA JIWE LA MSINMGI UJENZI HANGA LA PRECISION AIR DAR Bashir Nkoromo 7/27/2012 0 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akifunua kitambaa katika jiwe la msingi kuashiria kuzindua rasmi hanga la Precision Air lililopo katika uwa... Read more »
MEYA ANG'OLEWA MWANZA Bashir Nkoromo 7/27/2012 0 Meya Halmashauri ya jiji la Mwanza, Japheth Manyerere, ameng’olewa kwa madai ya madiwani wa Halmashauri hiyo, kutokuwa na imani naye. Inaend... Read more »
JOHN KOMBA AREJEA NYUMBANI BAADA YA KUFANYIWA UPASUAJI INDIAj Bashir Nkoromo 7/27/2012 0 Kampteni Komba akiwa na mkewe, Salome Komba nyumbani kwake Kawe leo Mkurugenzi wa Kundi la Tanzania One Theatre (TOT) ambaye pia ni Mb... Read more »
FAINALI KAGAME CUP NI YANGA NA AZAM Bashir Nkoromo 7/26/2012 0 Mabingwa watetezi wa Kombe la Kagame, Yanga ya Dar es Salaam, wametinga fainali baada ya kuibugiza APR ya Rwanda bao 1-0, kwa timu hizo kume... Read more »
MELI TATU ZAFUTIWA USAJILI ZANZIBAR KWA KUWA HATARISHI Bashir Nkoromo 7/26/2012 0 KWA HABARI HII TAFADHALI BOFYA TANZANIA VISION BLOG Read more »
ASKOFU MKUU RUGAMBWA AMTEMBELE RAIS KIKWETE IKULU Bashir Nkoromo 7/26/2012 0 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete leo amekutana na kufanya mazungumzo na Askofu Mkuu Protase Rugambwa ambaye hivi karibuni aliteuliwa na Baba M... Read more »
AZAM YATINGA FAINALI Bashir Nkoromo 7/26/2012 0 AZAM IMETINGA FAINALI KOMBE LA KAGAME BAADA YA KUICHAPA AS VITA MABAO 2-1. HABARI NA PICHA BOFYA TANZANIA VISION BLOG Read more »
AJALI ZAUA WATATU DODOMA Bashir Nkoromo 7/26/2012 0 NA LUPPY KUNG'ALO WA POLISI DODOMA Watu watatu wamekufa katika matukio matatu tofauti ya ajali za barabarani na wengine kujeruhiwa kati... Read more »
AZAM INAONGOZA KWA 2-1 DHIDI YA VITA YA DRC Bashir Nkoromo 7/26/2012 0 Hadi nusu mechi ya Azam FC na Vita ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo inamalizika muda si mrefu, Azam inaongoza kwa mabao 2-1 Read more »
DAU LAZAMA NA KUUA ZANZIBAR Bashir Nkoromo 7/26/2012 0 SALMA SALIM HASSAN, ZANZIBAR Dau lililokuwa limebaba abiria na mizigo limepinduka na kuzama katika pwani ya bahari ya Hindi, eneo la Mkoani... Read more »
BANC ABC YATAHAMINI MICHUANO Bashir Nkoromo 7/26/2012 0 Mkurugenzi wa masoko na matukio wa Shirikisho la soka Tanzania (TFF) Jimmy Kabwe akisaini mkataba wa makubaliano ya udhamini wa michuano ya ... Read more »
KATA YA KWADELO, KONDOA WATEKELEZA KILIMO KWANZA KWA KASI Bashir Nkoromo 7/26/2012 0 Diwani wa Kata ya Kwadelo,Kondoa mkoa wa Dodoma, Alhaji Omari Kariati (wa tatu kushoto) akiwa kwenye trekta na wakulima wa Kata hiyo, Abda... Read more »
MAANDALIZI YAIVA MKUTANO WA CCM KIGOMA JUMAPILI HII Bashir Nkoromo 7/21/2012 0 Bendera za CCM ziliwa zimepambwa jioni hii kwenye Uwanja wa Community Cetre, Mwanga mkoani Kigoma tayari kwa mkutano wa hadhara wa CCM utak... Read more »
UN YAOMBOLEZA MAAFA YA KUZAMA MELI ZANZIBAR Bashir Nkoromo 7/21/2012 0 Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Mhe. Jan Eliasson akisaini kitabu cha Maombolezo ambacho kimefunguliwa katika Ubalozi wa Kudumu wa... Read more »
KAMERA YE2 KIGOMA Bashir Nkoromo 7/20/2012 0 Stesheni Kuu ya Usafiri wa treni kwa njia ya reli kutoka mkoani Kigoma Moja ya majengo ya kisasa yanayobadili taswira ya mkoa wa Kigoma k... Read more »
RAIS KIKWETE AZURU ZANZIBAR KUFARIJI WALIOPATWA NA AJALI YA MELI Bashir Nkoromo 7/20/2012 0 PICHA ZA RAIS KIKWETE KWENYE MAAFA YA AJALI YA MELI ZANZIBAR INGIA KWENYE HUU MTABDAO WETU MWINGINE TANZANIA VISIO BLOG:- BONYEZA HAPA Read more »
CCM YATOA POLE AJALI YA MELI ZANZIBAR Bashir Nkoromo 7/19/2012 0 Nape DODOMA, TANZANIA Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetoa pole kwa wale wote ambao wamepatwa na msiba katika ajali ya meli iliyotokea jana... Read more »