DK. BILAL KATIKA MKUTANO WA WAZAZI Bashir Nkoromo 10/31/2012 0 Makamu wa Rais, Dk. Mohammed Gharib Bilal akilakiwa na Katibu Mkuu wa CCM, Wilson Mukama alipowasili kwenye Mkutano Mkuu wa Wazazi leo mjin... Read more »
TAKUKURU SASA WALA SAHANI MOJA NA WAZAZI, WATANO WAKAMATWA KWA RUSHWA Bashir Nkoromo 10/31/2012 0 *ZUNGU NAYE NDANI Zungu NA MWANDISHI WETU, DODOMA WATU watano akiwemo mbunge wa Ilala Musa Zungu wamekamatwa na Taasisi ya kuzuia... Read more »
RAIS AFUNGFUA BARABARA TARAKEA Bashir Nkoromo 10/31/2012 0 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifurahia jambo na Mbunge wa Rombo Mhe Joseph Selasin katika hafla ya ufunguzi rasmi wa barabara ya KM32 kuto... Read more »
MSIBA WA MTUNZA IKULU NDOGO YA ARUSHA Bashir Nkoromo 10/31/2012 0 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa Mtunza Ikulu ya Arusha (House Keeper), Lucy Samillah katika ibada ya ma... Read more »
ZIARA YA RAIS KIKWETE KILIMANJARO Bashir Nkoromo 10/29/2012 0 KILIMANJARO, TANZANIA Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo, Jumatatu, Oktoba 29, 2012 ameendel... Read more »
PINDA AWASILI DODOMA LEO TAYARI KWA KIKAO CHA BUNGE Bashir Nkoromo 10/29/2012 0 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dr. Rehema Nchimbi baaada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma ... Read more »
CCM YAIBWAGA CHADEMA BUGARAMA, KAHAMA Bashir Nkoromo 10/28/2012 1 Chama cha Mapinduzi kimefanikiwa kuibwaga Chadema katika uchaguzi mdogo wa Udiwani uliofanyika katika Kata ya Bugarama wilayani Kahama m... Read more »
CHADEMA YABAKI YATIMA NJOMBE, IRIMBA NA MBEYA Bashir Nkoromo 10/28/2012 0 *MLEZI KATIKA MIKOA HIYO AJIVUA UANACHAMA KUEPUKANA NA KINA MBOWE NA DK. SLAA MBEYA, TANZANIA CHADEMA kimebaki yatima katika mikoa ... Read more »
HERIETH MAKOMBE AHITIMU SHAHADA YA UZAMILI Bashir Nkoromo 10/28/2012 0 Jana ilikuwa siku ya furaha kwa Herieth Makombe alipohitimu na kutunukiwa Shahada ya uzamili ya uchumi na Maendeleo ya jamii kutoka Chuo ... Read more »
NAPE , MAIGE NA MGEJA KATIKA KUFUNGA KAMPENI ZA UCHAGUZI MDOGO WA UDIWANI BUGARAMA, WILAYANI KAHAMA Bashir Nkoromo 10/27/2012 0 Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akihutubia mamia ya wananchi katika mkutano wa kufunga kampeni ... Read more »
EID MUBARAK WOTEEEEEE!!!! Bashir Nkoromo 10/26/2012 0 Kwa niaba ya timu yote, mmiliki wa Blog za Nkoromo Daily, na Tanzania Vision, Bashir Nkoromo, anakutakia Amani, Upendo, Kheri na Fanaka... Read more »
JERRY SILAA MGOMBEA ALIYEVUNJA REKODI YA KUPATA KURA NYINGI UCHAGZI UVCCM Bashir Nkoromo 10/26/2012 0 Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Silaa, amevunja rekodi kwa kuzoa kura nyingi zaidi kuliko wagombea wengine wote katika Uchaguzi ... Read more »
KHAMIS SADIFA JUMA MWENYEKITI MPYA UVCCM Bashir Nkoromo 10/24/2012 0 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Sheni akimpongeza, Khamis Sadifa Juma baada ya kutangazwa kuwa Mwenyekit... Read more »
NAPE AWA KIVUTIO MKUTANO MKUU WA UVCCM Bashir Nkoromo 10/23/2012 0 Katibu wa Halmashauri Kuu yabTaifa, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akicharaza gita zito la besi wakati bendi ya Vijana Jazz ilipokuwa ikiim... Read more »
UCHAGUZI MKUU UVCCM, MGOMBEA AJITOA WAKATI WA KUOMBA KURA Bashir Nkoromo 10/23/2012 0 Lulu akitangaza kujitoa NA BASHIR NKOROMO, DODOMA Wakati ilitarajiwa kwamba uchaguzi wa kumpata Mweneyekiti wa Umoja wa Vijana wa CC... Read more »
MARTHA: WANAOTUMIA FEDHA KUSAKA UONGOZI HAWAITAKII MEMA CCM Bashir Nkoromo 10/22/2012 0 Martha Mlata NA MWANDISHI WETU MATUMIZI makubwa ya fedha katika uchaguzi ndani ya CCM na Jumuia zake yanayofanywa na baadhi ya wanach... Read more »
UCHAGUZI MKUU UVCCM KUANZA KESHO DODOMA Bashir Nkoromo 10/22/2012 0 *Shigela atamba rushwa kutopenya kwenye uchaguzi wao * Awakamia watakaotafuta ushindi kwa njia hiyo na kampeni za majitaka Shigela akiz... Read more »
MATOKEO UCHAGUZI WA KINA SOPHIA SIMBA Bashir Nkoromo 10/21/2012 3 DODOMA, TANZANIA Umoja wa wanawake Tanzania (UWT) jana ulikamilisha uchaguzi wake mkuu ambao Mwenyekiti wa zamani Sophia Simba akitangazwa... Read more »
SERIKALI: SMS ZINAZOSAMBAZWA KWAMBA MPAKANI MWA TANZANIA NA MALAWI KUNA MABOMU NI ZA UONGO Bashir Nkoromo 10/21/2012 0 Kuna taarifa kwenye mitandao ya simu inayoendelea kutolewa kwenye message za simu kwamba kuna Mabomu zaidi ya 30 yenye uzito usiopungua ta... Read more »
DK. BILAL KUFUNGUA MKUTANO WA KIMATAIFA WA WANAWAKE WAFANYABIASHARA KUTOKA NCHI ZA MASHARIKI MWA AFRIKA Bashir Nkoromo 10/21/2012 0 NA TIGANYA VINCENT-MAELEZO Makamu wa Rais wa Tanzania Dkt. Mohamed Gharib Bilal (PICHANI), anatarajiwa kuwa Mgeni rasmi katika ufunguzi... Read more »
JE, WEWE NI MPENZI WA HABARI ZA KI-SPOTI? Bashir Nkoromo 10/21/2012 0 TAFADHALI BOFYA KWENYE UKURASA WETU WA SPOTI KWENYE UTEPE HAPO JUU AU BOFYA HAPA UPATE HABARI ZA LEO LEO Read more »
ZIARA YA NAPE MKOANI KILIMANJARO Bashir Nkoromo 10/21/2012 0 Nape Nnauye, Katibu wa NEC,Itikadi na Uenezi akiweka jiwe la msingi katika ofisi mpya ya CCM ,Wilaya ya Rombo Mkoani Kilimanjaro tarehe 2... Read more »
NI SOPHIA SIMBA TENA UWT Bashir Nkoromo 10/20/2012 0 MWWENYEKITI wa Jumuia ya Wanawake Tanzania (UWT) aliyekuwa akishikilia nafasi hiyo muhula uliopita, Waziri Sophia Simba amefanikiwa kukit... Read more »
TANZANIA YAISHAURI ICC KUJIEPUSHA NA USHAWISHI WA KISIASA Bashir Nkoromo 10/19/2012 0 Balozi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Tuvako Manongi akizungumza wakati wa mjadala wa wazi ulioandaliwana Baraza Kuu la U... Read more »
UWT YAAPA KUWAVUA USHINDI WAGOMBEA WATAKATAFUTA KURA KWA NJIA HARAMU Bashir Nkoromo 10/19/2012 0 Amina Makillagi DODOMA, TANZANIA KITIMU timu cha Uchaguzi Mkuu wa Jumuia ya Wanawake Tanzania(UWT) kinaanza lesho Mkutano Mkuu wa Ju... Read more »
'WAISLAM' WACHAFUA TENA HALI YA HEWA DAR Bashir Nkoromo 10/19/2012 0 DAR ES SALAAM, TANZANIA Kama hali ilivyokuwa baada ya Sala ya Ijumaa iliyopita, leo baadhi ya waislam wanaotaka kujitambulisha kuwe wenye m... Read more »
MANONGI:TUACHE MALUMBANO TUJADILI HALI HALISI Bashir Nkoromo 10/16/2012 0 Balozi wa Kudumu wa Ubalozi wa Tanzania Katika Umoja wa Mataifa, Tuvako Manongi, akizungumza siku ya Jumatatu,wakati wa Uzinduzi wa T... Read more »
JAJI WARIOBA: HUU SIO WAKATI WA KUPIGA KURA, TUNATAFUTA HOJA Bashir Nkoromo 10/16/2012 0 Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Jaji Joseph Warioba (pichani), amesisitiza umumihu wa wana... Read more »
RAIS KIKWETE AZUNGUMZA NA MFALME QABOOS NCHINI OMAN Bashir Nkoromo 10/16/2012 0 Tanzania na Oman zina mahusiano ya kidamu na kindugu ambayo ni maalum sana yanayopaswa kudumishwa, kuthaminiwa na kuenziwa kwa dhati. ... Read more »