Baadhi
ya Warembo wanaowania taji ya Ulimbwende la Jiji la
Arusha,wakimsikiliza kwa makini Dr,Sober Mzighani wa Hospitali ya Maria
Stopes ya jijini humo wakati wakipatia mafunzo mbali mbali yahusuyo
maswala ya afya ya Binadamu.Hii ni sehemu ya maandalizi ya Onyesho hilo
la Urembo ambalo linataraji kufanyika hivi karibuni.
Warembo wanaowania taji ya Ulimbwende la Jiji la Arusha wakiwa katika picha ya pamoja.
JIUNGE SASA Michuzi TV SASA IPO HEWANI - You'll love it!
NDUGU MDAU MICHUZI TV SASA IPO HEWANI.
JIUNGE HARAKA UPATE MAMBO MOTOMTO!!
KWA KUANZIA WADAU WA VODACOM WANAKARIBISHWA KUPIGA
*149*01# KISHA CHAGUA NAMBA 4 SIMU.tv (MPYA)
HALAFU NENDA NAMBA 1. Habari (BURE),
BAADA YA HAPO
CHAGUA NAMBA 5 Michuzi TV (BURE)
UNAKUWA UMESHAJISAJILI KWA HUDUMA HII MPYA.
LIBENEKE OYE!


No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269