Breaking News

Your Ad Spot

Sep 11, 2014

OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU YATOA TAARIFA YA PATO LA TAIFA KWA ROBO YA KWANZA YA MWAKA,JANUARY-MACHI 2014

 Nembo ya Ofisi ya Taifa ya Takwimu.
 Mkurugenzi wa Takwimu za Uchumi wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Morice Oyuke akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi wakati akitoa taarifa ya pato la taifa kwa robo ya kwanza ya mwaka kuanzia Januari na Machi 2014.
 Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Sera na Mipango wa Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika, Oswald Ruboha, akizungumza katika mkutano huo.
 Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Idara ya Uchumi, Stephen Kirama akitoa ufafanuzi wa masuala ya uchumi katika mkutano huo. (Imeandaliwa na mtandao wa habari za jamii.com-simu namba 0712-727062)
  Mkurugenzi wa Takwimu za Uchumi wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Morrice Oyuke (wa tatu kushoto), akiwa  na wadau wa uchumi katika mkutano huo. Kutoka kushoto ni  David Kwimbere kutoka ni Meneja Msaidizi wa Sera na Utafiti kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Sera na Mipango wa Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika, Oswald Ruboha, Mtakwimu kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Royal Lyanga na Mtakwimu Mkuu wa NBS, Philemon Mahimbo.

 Mkurugenzi wa Takwimu za Uchumi wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Morice Oyuke (katikati) akitoa ufafanuzi mbalimbali katika mkutano huo. Kushoto ni  Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Idara ya Uchumi, Stephen Kirama na Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Sera na Mipango wa Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika, Oswald Ruboha.
 Wanahabari wakiwa katika mkutano huo wakipata taarifa taarifa hiyo

 Wanahabari wakiwa kwenye mkutano huo.
 Wanahabari wakiwa kwenye mkutano huo.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages