Mkurugenzi Mkuu wa UNESCO, Bi Irina Bokova.
DUNIA endelevu haiwezi kuwapo kama hakutakuwepo na bahari yenye kuendeleza uhai.
Miezi
michache kabla ya kufanyika kwa kongamano la kihistoria la COP21
(21st Conference of the Parties to the United Nations Framework
Convention on Climate Change) la kutengeneza ajenda mpya ya maendeleo
endelevu, ujumbe huu ulikuwa hauna tija.
Lakini sasa ujumbe huu una tija sana na muhimu sana.
Iwe
nchi iko mbali na bahari au karibu, kila nchi na kila aina ya uhai
hutegemea zaidi namna bahari inavyokuwa salama na yenye kutekeleza
wajibu wake wa kulea uhai.
Kiukweli
bahari ni kitu muhimu katika mfumo wa hali ya hewa duniani, ikiratibu
kwa namna ya kipekee mabadiliko ya muda mrefu ya hali ya hewa na mfupi
na pia uwepo wa hewa mbalimbali katika anga ikiwemo oksijeni
tunayovuta.
Aidha inawezesha kuwapo kwa lishe na kuwa chanzo cha chakula.
Wakati
wanasayansi wanaweka teknolojia mpya kuweza kuangalia tabia za
bahari , tunatambua kwamba zipo athari za shughuli za kibinadamu katika
afya ya bahari hasa hewa ya ukaa inayozalishwa kwa sababu za shughuli za
kiviwanda.
Alisema hewa hiyo ya ukaa imevuruga mfumo wa ikolojia wa baharini na kuweka kazi ya uratibu ya bahari katika hatari.
Kupanda
kwa kina cha bahari, kuyeyuka kwa mabonge ya mabarafu, kuzidi kwa
kiwango cha tindikali, kuwepo na maeneo yaliyokufa, kuzaliwa kwa mimea
bahari hatari, kufumuliwa kwa matumbawe,kupungua kwa samaki na mfumo wa
ikolojia… kunaonesha uwapo wa matatizo katika kiwango cha kitaifa na
kimataifa.
Ili
kuangalia athari za shughuli za kibinadamu Unesco inaangalia elimu,
utamaduni, sayansi na mawasiliano katika kubadilisha elimu na teknolojia
kwa jamii katika maendeeo endelevu na mabadiliko ya tabia nchi.
Kupitia
kamisheni ya bahari dunia, Unesco inaangalia mfumo wa aina yake wa
bahari kwa ajili ya utafiti wa hali ya hewa na mabadiliko ya tabia nchi.
Pia
inawawezesha wataalamu mbalimbali kuchambua matokeo ya tafiti za sasa
na hasa kuzidi kwa joto katika bahari na tindikali kwa kutambua thamani
bahari katika mabadiliko ya tabia nchi.
Katika
Siku ya Bahari , UNESCO kwa kusaidiwa na Monaco, Sweden na Ufaransa,
inawezesha tukio kubwa katika makao yake makuu mjini Paris, Ufaransa
kuangalia umuhimu wa bahari kabla ya mkutano wa majadiliano wa
mabadiliko ya tabia nchi.
Mabadiliko
ya tabia na hali ya hewa yana mahusiano makubwa na mabadiliko baharini
na hakuna nchi yoyote duniani hata iwe na nguvu kiasi gani cha uchumi
inaweza kukabili mabadiliko yanayotokea baharini.
Katika
siku hii ya kuadhimisha Siku ya Bahari, ninatoa wito kwa nchi zote
wanachama,taasisi zisizo za kiserikali na sekta binafsi kushirikiana
katika kuhakikisha kwamba dunia inachukua hatua kuona umuhimu wa bahari
katika mfumo wa wa hali ya hewa duniani.
KAWAIDA
Irina_Bokova
Mkurugenzi
Mkuu wa UNESCO, Bi Irina Bokova.
DUNIA endelevu haiwezi kuwapo kama hakutakuwepo na bahari yenye
kuendeleza uhai.
Miezi michache kabla ya kufanyika kwa kongamano la kihistoria la COP21
(21st Conference of the Parties to the United Nations Framework
Convention on Climate Change) la kutengeneza ajenda mpya ya maendeleo
endelevu, ujumbe huu ulikuwa hauna tija.
Lakini sasa ujumbe huu una tija sana na muhimu sana.
Iwe nchi iko mbali na bahari au karibu, kila nchi na kila aina ya uhai
hutegemea zaidi namna bahari inavyokuwa salama na yenye kutekeleza
wajibu wake wa kulea uhai.
Kiukweli bahari ni kitu muhimu katika mfumo wa hali ya hewa duniani,
ikiratibu kwa namna ya kipekee mabadiliko ya muda mrefu ya hali ya hewa
na mfupi na pia uwepo wa hewa mbalimbali katika anga ikiwemo oksijeni
tunayovuta.
Aidha inawezesha kuwapo kwa lishe na kuwa chanzo cha chakula.
Wakati wanasayansi wanaweka teknolojia mpya kuweza kuangalia tabia za
bahari , tunatambua kwamba zipo athari za shughuli za kibinadamu katika
afya ya bahari hasa hewa ya ukaa inayozalishwa kwa sababu za shughuli
za kiviwanda.
Alisema hewa hiyo ya ukaa imevuruga mfumo wa ikolojia wa baharini na
kuweka kazi ya uratibu ya bahari katika hatari.
Kupanda kwa kina cha bahari, kuyeyuka kwa mabonge ya mabarafu, kuzidi
kwa kiwango cha tindikali, kuwepo na maeneo yaliyokufa, kuzaliwa kwa
mimea bahari hatari, kufumuliwa kwa matumbawe,kupungua kwa samaki na
mfumo wa ikolojia… kunaonesha uwapo wa matatizo katika kiwango cha
kitaifa na kimataifa.
Ili kuangalia athari za shughuli za kibinadamu Unesco inaangalia elimu,
utamaduni, sayansi na mawasiliano katika kubadilisha elimu na teknolojia
kwa jamii katika maendeeo endelevu na mabadiliko ya tabia nchi.
Kupitia kamisheni ya bahari dunia, Unesco inaangalia mfumo wa aina yake
wa bahari kwa ajili ya utafiti wa hali ya hewa na mabadiliko ya tabia
nchi.
Pia inawawezesha wataalamu mbalimbali kuchambua matokeo ya tafiti za
sasa na hasa kuzidi kwa joto katika bahari na tindikali kwa kutambua
thamani bahari katika mabadiliko ya tabia nchi.
Katika Siku ya Bahari , UNESCO kwa kusaidiwa na Monaco, Sweden na
Ufaransa, inawezesha tukio kubwa katika makao yake makuu mjini Paris,
Ufaransa kuangalia umuhimu wa bahari kabla ya mkutano wa majadiliano wa
mabadiliko ya tabia nchi.
Mabadiliko ya tabia na hali ya hewa yana mahusiano makubwa na
mabadiliko baharini na hakuna nchi yoyote duniani hata iwe na nguvu
kiasi gani cha uchumi inaweza kukabili mabadiliko yanayotokea baharini.
Katika siku hii ya kuadhimisha Siku ya Bahari, ninatoa wito kwa nchi
zote wanachama,taasisi zisizo za kiserikali na sekta binafsi
kushirikiana katika kuhakikisha kwamba dunia inachukua hatua kuona
umuhimu wa bahari katika mfumo wa wa hali ya hewa duniani.
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269