Mbunge
wa Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu (kulia) akimkabidhi Sh. Laki Tano
Makamu wa pili wa Rais Hamis Mbonde kati, kwa maandalizi ya Fainali ya
Chuo cha Bandari inayo shirikisha Madarasa yote ya Chuo hicho (kushoto)
ni Katibu Mkuu Serikali ya Chuo cha Bandari Samora Masanja na wapili
kulia ni Makamu wa TEFA Bakili Makele katika kiwanja cha chuo hicho
Dar es Salaam (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)
Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu akifafanua jambo kwa viongozi wa
Chuo cha Bandari, kuanza kilia ni Waziri wa Katiba na Sheria Chuo
hicho Mwichande Ngunga , Waziri Mkuu wa chuo hicho Mariam Mrisho na
Makamu wa pili wa Rais Hamis Mbonde
Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu akikagua Timu
Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu akikagua Timu katika kiwanja cha Chuo cha Bandari Dar es Salaam
Makamu
wa TEFA Bakili Makele akiwapungia mikono wanachuo hao na wanaNchi wakio
jitokeza alipo tambulishwa wakati wa mashindano hayo
Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu akabidhi vifaa vya michezo kwa Katibu Mkuu Serikali ya Chuo cha Bandari Samora (kushoto) na aliye vaa tisheti nyeusi ni Makamu wa pili wa Rais Hamis Mbonde na anaye fatia wapili kulia ni Makamu wa TEFA Bakili Makele
Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu akizungumza na wachezaji wa timu ya wanawake wa Chuo cha Bandari
Wanafunzi wa Chuo cha Bandari wakifatilia mtanange huo
Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu (wapili kushoto) katika picha ya pamoja viongozi wa Chuo cha Bandari akiwemo Muasisi na Katibu wakwanza wa Chama cha Mapinduzi Tawi la Chuo cha Bandari Iddi Majuto (wa pilikushoto)
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269