Breaking News

Your Ad Spot

Feb 19, 2016


Naibu Waziri  wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Mhe. Dkt. Susan Kolimba (Mb) akiukaribisha ujumbe wa wabunge wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje ya Bunge la Sweden walipomtembelea leo Februari 19, 2016, ofisini kwake jijini Dar es Salaam.Wabunge hao wapo nchini kwa madhumuni ya kutathmini na kukagua miradi inayofadhiliwa na Serikali ya Sweden kwa Tanzania ili kubaini utaratibu bora zaidi wa kusaidia Tanzania katika kipindi kijacho.
Naibu Waziri (kulia) akizungumza na kiongozi wa ujumbe huo, Mhe. Kenneth G. Forslundambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje ya Sweden
Naafisa wa Wizara ya Mambo ya Nje wakifuatilia mazungumzo hayo. Kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na Amerika, Balozi Joseph Sokoine, Bi. Tunsume Mwangolombe, Bw. Adam Issara na Bw. Ally Kondo. 
 
Baadhi ya Waheshimiwa. Wabunge kutoka Sweden wakifuatilia mazungumzo hayo

Baadhi ya Waheshimiwa. Wabunge kutoka Sweden wakifuatilia mazungumzo hayo
Naibu Waziri, Dkt. Kolimba wa pili kutoka kulia akiwa katika picha ya pamoja na wabunge wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje ya Bunge la Sweden.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages