Waziri Mkuu,
Kassim Majaliwa akipokea moja ya vifaa vya hospitali kutoka kwa
wawailishi wa makampini ya Vinywaji baridi ya Coca Cola- Kwanza, Azam
Cola na Pepsi Cola-SBC katika makabidhino yaliyofanyika kwenye maghala
ya MSD yaliyopo Mabibo jijini Dar es salaam Februari 25, 2016. Kushoto
Mkurugenzi wa Pepsi, Avinash Jha,Wapili kushoto ni Reginald Mengi
ambaye pia ni Mwenyekiti Mtendaji wa IPP na Wapili kulia ni Basil
Gadzios wa Coca cola Kwanza.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana baadhi ya viongozi vya
makampuni ya vinywaji baridi ya Coca Cola- Kwanza, Azam Cola na Pepsi
Cola-SBC katika makabidhino ya vofaa vya hospitali vyenye thamani ya
shilingi bilioni 10 yaliyofanyika kwenye maghala ya MSD yaliyopo Mabibo
jijini Dar es salaam Februari 25, 2016. Kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa
Pepsi, Avinash Jha, Reginald Mengi ambaye pia ni Mwenyekiti Mtendaji wa
IPP na Basil Gadzios wa Coca cola Kwanza. Kulia ni Katibu Mkuu wa
Wizara ya Afya, Dkt. Ulisubisya Mpoki.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua baadhi ya vitanda na vifaa mbalimbali vya
hospitali vyenye thamani ya sh. bilioni 10 vilivyotolewa na kampuni za
vinywaji baidi za Coca cola- Kwanza, Azam Cola na Pepsi Cola- SBC
katika makabidhino yaliyofanyika kwenye maghala ya MSD yaliyopo Mabibo
jijini Dar es salaam Februari 25, 2016. Kulia kwake ni Katibu Mkuu wa
Wizara ya Afya, Dkt. Ulisubisya Mpoki.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua baadhi ya vitanda na vifaa mbalimbali vya
hospitali vyenye thamani ya sh. bilioni 10 vilivyotolewa na kampuni za
vinywaji baidi za Coca cola- Kwanza, Azam Cola na Pepsi Cola- SBC
katika makabidhino yaliyofanyika kwenye maghala ya MSD yaliyopo Mabibo
jijini Dar es salaam Februari 25, 2016. Kulia kwake ni Katibu Mkuu wa
Wizara ya Afya, Dkt. Ulisubisya Mpoki.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua baadhi ya vitanda na vifaa mbalimbali vya
hospitali vyenye thamani ya sh. bilioni 10 vilivyotolewa na kampuni za
vinywaji baidi za Coca cola- Kwanza, Azam Cola na Pepsi Cola- SBC
katika makabidhino yaliyofanyika kwenye maghala ya MSD yaliyopo Mabibo
jijini Dar es salaam Februari 25, 2016. Kulia kwake ni Katibu Mkuu wa
Wizara ya Afya, Dkt. Ulisubisya Mpoki.
Waziri
Mkuu, Kassim Majliwa akikagua baadhi ya vitanda na vifaa mbalimbali vya
hospitali vyenye thamani ya sh. bilioni 10 vilivyotolewa na kampuni za
vinywaji baidi za Coca cola- Kwanza, Azam Cola na Pepsi Cola- SBC
katika makabidhino yaliyofanyika kwenye maghala ya MSD yaliyopo Mabibo
jijini Dar es salaam Februari 25, 2016. Kulia kwake ni Katibu Mkuu wa
Wizara ya Afya, Dkt. Ulisubisya Mpoki.
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269