Kamanda wa Vijana Mkoa wa Dar es Salaam na Mwenyekiti wa Kampuni
ya BRAVO JOB CENTRE AGENCY LTD Abbas Mtemvu (kushoto) akiwa na
mazungumzo na mgeni wake ofisini kwake Dar es Salaam jana kutoka Saudi
Arabia, Abdulrahman Almohaimid, toka Kampuni ya Jal Human Resources
Company (JHR) ambapo kampuni hiyo inajihusisha na ajira na shughuli
nyingine ambapo imeingia ubia na Bravo katika mpango wa ajira na
uwekezaji wa nyanja mbalimbali. (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)
Balozi Abdallah Kilima (wa tatu kushoto) katika picha ya pamoba na Abdulrahman Almohaimid (wakwanza kushoto) kutoka Kampuni ya Jal Human Resources
Company (JHR) ya Saudi
Arabia, Kamanda wa Vijana Mkoa wa Dar es Salaam na Mwenyekiti wa Kampuni
ya BRAVO JOB CENTRE AGENCY LTD Abbas Mtemvu na Mkurugenzi wa Bravo wa kwanza kulia
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269