Mwenyekiti wa Bodi ya wadhamini Taasisi ya Tiba ya Mifupa
,Upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu (MOI) Zakia
Meghji (wa kwanza kulia) akifungua Baraza la tatu la Wafanyakazi Taasisi
hiyo sambamba na utoaji vteti kwa wafanyakazi bora na pesa taslimu kwa kila mfanyakazi, Dar es Salaam leo katika Ukumbi wa NIMR. wa katikati ni Kaimu
Mkurugenzi wa Taasisi Dkt, Othman Kiloloma na anayefatia ni Katibu wa
Baraza la wafanyakazi hilo Dkt. Clement Mugisha (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)
Your Ad Spot
Feb 24, 2016
Home
Unlabelled
ZAKIA MEGHJI AFUNGUA BARAZA LA WAFANYAKAZI MOI JIJINI DAR ES SALAAM LEO
ZAKIA MEGHJI AFUNGUA BARAZA LA WAFANYAKAZI MOI JIJINI DAR ES SALAAM LEO
Share This
About khamisimussa77@gmail.com
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269