Breaking News

Your Ad Spot

Feb 27, 2016

ZIMBABWE KUSHEHEREKEA MIAKA 92 YA MUGABE


Maelfu ya watu wanatarajiwa kuhudhuria sherehe za kuzaliwa kwa rais wa Zimbabwe Robert Mugabe ambaye alitimiza umri wa miaka 92 wiki iliyopita.
Wakosoaji wanasema kuwa sherehe hizo zinatarajiwa kugharimu takriban dola 800,000 wakisema kuwa ni fedha nyingi sababu ya hali ya ukame inayoikumba nchi hiyo.
Bwana Mugabe amekuwa madarakani tangu mwaka 1980 wakati Zimbabwe ilipowatimua wazungu kupata uhuru kamili kutoka nchini Uingereza.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages