Breaking News

Your Ad Spot

Mar 23, 2016

AYSHAROSE MATEMBE AIWAKILISHA TANZANIA KWENYE MKUTANO WA WABUNGE VIJANA KUTOKA DUNIANI HUKO ZAMBIA

 
Mbunge wa Viti Maalum kutoka Tanzania Mhe. Aysharose Matembe akifuatilia kwa makini ufunguzi wa Mkutano wa  Wabunge Vijana kutoka Mabungu yote Duniani unaofanyika sambamba na Mkutano wa134 wa  Umoja wa Mabunge Duniani ( 34th Inter- Parliamentary Union)  unofanyika Lusaka Nchini Zambia wiki hii.  
 Spika wa Zambia Mhe. Patrick Matibini akifungua Mkutano wa  Wabunge Vijana kutoka Mabungu yote Duniani unaofanyika sambamba na Mkutano wa134 wa  Umoja wa Mabunge Duniani ( 34th Inter- Parliamentary Union)  unofanyika Lusaka Nchini Zambia wiki hii. 
Picha na Owen Mwandumbya
Wabunge Vijana kutoka Nchi Mbalimbali wakifuatilia kwa makini ufunguzi wa Mkutano wa  Wabunge Vijana kutoka Mabungu yote Duniani unaofanyika sambamba na Mkutano wa134 wa  Umoja wa Mabunge Duniani ( 34th Inter- Parliamentary Union)  unofanyika Lusaka Nchini Zambia wiki hii.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages