Breaking News

Your Ad Spot

Apr 22, 2016

MATUKIO BUNGENI DODOMA


Wabunge wakiingia bungeni mjini Dodoma.PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG

Wabunge wakijadiliana jambo ndani bunge

Wabunge wakipata habari kupitia kwenye simu bungeni

Mbunge wa Jimbo la Momba, David Silinde akichangia hoja bungeni

Mbunge wa Jimbo la Mkuranga, Abdallah Ulega akichangia hoja

Majadilianao yakiendelea







Wabunge, Prosper Mbene, Dk.Mary Mwanjelwa na Allan Kiula wakiingia bungeni



Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu akijibu maswali bungeni

Mbunge wa Viti Maalum, Mariam Kisanga akiuliza swali

Waziri wa Viwanda na Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage akijibu maswali

Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Huruma ya Dodoma wakitambulishwa bungeni



No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages