Breaking News

Your Ad Spot

Apr 13, 2016

MAZISHI YA ALIYEWAHI KUWA MBUNGE WA VITI MAALUM CHADEMA CHRISTINA LISU, YALIYOHUDHURIWA NA MSEMAJI WA CCM, OLE SENDEKA

Msemaji Mkuu wa CCM, Christoher Ole Sendeka akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa aliyewahi kuwa Mbunge wa viti Maalum wa Chadema, Christina Lisu, wakati wa maziko yaliyofanyika nyumbani kwa marehemu Kijiji cha Mahambe, wilayani Ikungi mkoani Singida PICHA ZAIDI> BOFYA HAPA

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages