Rais
Magufuli akitowa heshima za mwisho kwa aliyekuwa Waziri wa Elimu na
Mbunge wa Mufindi, Joseph Mungai katika ukumbi wa Karimjee Dar es Salaam
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi (kulia) akisalimiana na ndugu na jamaa wakati wa shughuli ya kuuaga mwili wa aliyekuwa
Waziri wa Elimu na Mbunge wa Mufindi, Joseph Mungai katika ukumbi wa
Karimjee Dar es Salaam, katikati ni Jaji Mstaafu na Mwanasheria Mkuu
Waombolezaji
wakiuingiza ndani mwili wa aliyekuwa Waziri wa Elimu na Mbunge wa
Mufindi, Josefu Mungai ndani tayari kwa maandalizi ya kutowa heshima za
mwisho
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi (kulia) akisaidiana na waombolezaji kuuweka sehemu maalumu mwili wa aliyekuwa Waziri wa Elimu na Mbunge wa Mufindi, Josefu Mungai
Sehemu ya familia
Mama Salma Kikwete akimfariji marehemu Mery Mungai ambaye ni mjane wa marehemu Joseph Mungai
Rais Mstaafu Benjamin Mkapa akisalimiana na viongozi mbalimbali
PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269