Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akizungumza na waandishi wa habari leo Jijini Dar es Salaam (hawapo pichani)wakati wa hafla ya kumkabidhi Bendera ya Taifa Bi. Julietha Kabete (kushoto) Mrembo atakayeiwakilisha Tanzania katika mashindano ya Miss Afrika 2016 nchini Nigeria.
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye(kulia) akimkabidhi Bendera ya Taifa Bi. Julietha Kabete, Mrembo atakayeiwakilisha Tanzania katika mashindano ya Miss Afrika 2016 nchini Nigeria.
Badhi ya Waaandishi wa habari waliokuwepo
Your Ad Spot
Nov 14, 2016
Home
Unlabelled
WAZIRI NAPE AAHIDI MAGEUZI KATIKA MASHINDANO YA UMISS
WAZIRI NAPE AAHIDI MAGEUZI KATIKA MASHINDANO YA UMISS
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269