Breaking News

Your Ad Spot

Dec 13, 2016

KIKAO CHA HALMASHAURI KUU YA CCM CHAMALIZIKA LEO JIJINI DAR ES SALAAM

 Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk. John Magufuli akifungua kikao Cha Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Desemba 13, 2016. 
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk. John Magufuli akifungua kikao Cha Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Desemba 13, 2016. Kulia ni Makamu Mwenyekiti wa CCM-Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohammed Shein, Katibu Mkuu wa CCM, .
 Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akitoa hotuba ya utangulizi kumkaribisha Dk. Magufuli 
 Mwenyekiti wa CCM, Dk. John Magufuli akishauriana jambo na Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana wakati wa kikao hicho
 Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi aliyemaliza mda wake, Nape Nnauye akizunguza wakati wa kikao hicho. Picha zote na Bashir Nkoromo. PICHA NYINGI ZAIDI/>>BOFYA HAPA

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages