Breaking News

Your Ad Spot

Dec 18, 2016

NI USIKU WA GEORGE NA MKEWE VICTORIA MOLLEL BAADA YA KUFUNGA PINGU ZA MAISHA


 Bwana harusi, George Raphael na mkewe Victoria Mollel wakiwa katika pozi la tabasamu baada ya kufunga pingu za maisha katika Kanisa la Ushirika wa Ubungo, Lutherani  ibada hiyo ya ndoa iliyoongozwa na Mchungaji Godliste  Nkya
 Biharusi, Victoria Mollel katika pozi
  Bwana harusi, George Raphael

 Bwana na Biharusi wakiwa katika pozi baada ya kufunga pingu za maisha
 Maharusi  katika Picha ya familia ya pande zote mblili
 Maharusi na wapambe katika picha ya pamoja
 Mmoja wa wapambe katika pozi
  Victoria Mollel akipunga mkono akiondoka Kanisani baada ya kufunga pingu za Maisha na mpendwa mume wake, George Raphael nakuelekea kupiga picha katika eneo la Chuo Cha Sheria Sinza Jijini Dar es Salaam, ambapo Sherehe ilifanyika katika Ukukumbi uliopo hapo hapo katika Chuo hicho
 Maharusi katika pozi wakisaidiwa na wapambe wao kwa kushika shera ya biharusi

 Bwana harusi George Raphael na Victoria Mollel wakiwa katika pozi
 Biharusi, Victoria Mollel katika picha ya pamoja na familia ya pande mbili, kushoto ni mama Mzazi wa Biharusi Victoria Mollel , Julieth Mollel
 Ka


 Biharusi Victoria Mollel akiwa Saloon



 Wapambe wa maharusi Imanuel Zakayo na mkewe Daisy Mbowe wakiwa katika picha ya pamoja ambao ni mke na mume
  Mchungaji Godliste Nkya akiwakabidhi Cheti cha Ndoa baada ya kufunga pingu za Maisha







 Wazazi na wapambe wakitoka Kanisani baada ya kufunga pingu za maisha


 Maharusi wakikata Keki









(PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA) Mmiliki wa kampuni ya KM Express Photo Studio na Mmiliki wa ujijirahaa blog

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages