Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Meja
Jenerali Mstaafu, Rafael Muguga baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege
wa Mpanda Januari 17, 2017 ambako alifungua duka la dawa la MSD.
Wa pili kushoto ni Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo na
kushoto ni Mwenyekiti wa CCM wa mkoa wa Katavi, Muselem Said Abdallah.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mbunge wa Mpanda Mjini, Sebastian
Kapufi baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Mpanda .
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na viongozi na watumishi wa
Halmashauri na Manispaa ya Mpanda na wananchi kwenye Ikulu ndogo ya
Mapanda Januari .
Waziri
Mkuu,Kassim Majaliwa akizungumza na Elizabeth Zephania , mmoja wa wazazi
waliojifungua katika hospitali ya Mpanda wakati alipotembelea wodi ya
wazazi ya hospitali hiyo
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akimfariji Bw. Mussa Matemela anayemuuguza mwanae
Emmanuel Sahani (3) wakati alipotembelea wodi ya watoto katika
hospitali ya Mpanda .
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akimfariji wanawake waliolazwa katika hospitali
ya Mpanda wakiuguza watoto wao wakati alipotembelea wodi ya watoto
katika hospitali hiyo .
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akitembelea wodi ya watoto katika hopitali ya
Mpanda ili kuwafariji wagonjwa na kusikiliza kero zao .
Wananchi
wa Mpanda wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati
aliopowahutubia kabla ya kuzindua duka la dawa la MSD katika
hospitali ya Mpanda .
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wananchi wa Mpanda kabla ya
kufungua duka la dawa la MSD katika hospitali hiyo .
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa (wa nne kulia) akikata utepe kuashiria ufunguzi wa duka la dawa la MSD katika hospitali ya
Mpanda . Kushoto kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Katavi,
Meja Jenerali Mstaafu, Rafael Muhuga na (wa nne kushoto) ni Mkurugenzi Mkuu
wa MSD, Laurean Bwanakunu. wakwanza Kulia ni Waziri wa Nishati na Madini ,
Profesa Sospeter Muhongo, Wapili kulia ni Mbunge wa mpanda Mjini,
Sebastian Kapufi.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akipiga makofi baada ya kufungua duka la dawa la
MSD katika hospitali ya Mpanda Januari 17, 2017. Kushoto ni Mkurugenzi
Mkuu wa MSD, Laurean Bwanakunu na kulia ni Mbunge wa Mapanda Mjini
Sebastian Kapufi.
1A2800 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kakitazama dawa za bibadamu baada ya kufungua duka la dawa la MSD katika hospitali ya Mpanda , watatu kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa MSD, Laurean Bwanakunu na wapili kushoto ni Mwenyekiti wa CCM wa mkoa wa Katavi, Muselem Said Abdallah.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa kakitazama dawa za binadamu baada ya kufungua duka
la dawa la MSD katika hospitali ya Mpanda . Kushoto
ni Mkurugenzi Mkuu wa MSD, Laurean Bwanakunu .
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akipiga makofi baada ya kufungua duka la dawa la
MSD katika hospitali ya Mpanda Januari 17, 2017. Kushoto ni Mkurugenzi
Mkuu wa MSD, Laurean Bwanakunu na kulia ni Mbunge wa Mapanda Mjini
Sebastian Kapufi.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na viongozi wa dini baada ya kufungua
duka la dawa la MSD katika hospitali ya Mpanda
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akiwapungia wananchi baada ya (PICHA NA OFISI YA WAZIRI MKUU)
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269