Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akihutubia mkutanao wa hadhaa katika kijiji cha
Lembapuli kilichopo mpakani mwa wilaya za Kilindi na Kiteto alikokwenda
kutatua mgogoro wa mpaka leo 18, 2017.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akielekea kwenye moja ya jiwe la mpaka wa
wilaya ya Kilindi na Kiteto wakati alipokwenda kwenye kijiji cha
Lembapuli kilichopo kwenye mpaka wa Kiteto na Kilindi kutatua mgogoro
wa mpa Januari 18, 2017. Kushoto kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Dkt.
Joel Bendera na kulia kwake ni Mkuu wa wilaya na Tanga na Kaimu Mkuu
wa Mkoa wa Tanga Thobias Mwilapwa.
Baadhi ya
wananchi wa wilaya za Kilindi na Kiteto wakimshangilia Waziri Mkuu,
Kassim Majaliwa wakati alipohutubia mkutano wa hadhara katika kijiji
cha Lembapuli kilichopo mpakani mwa wilaya za Kiteto na Kilindi
alikokwenda kutatua mgogoro wa mpaka
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akiwapungia wananchi wa Kiteto na Kilindi wakati
alipokwenda kwenye kijiji cha Lembapuli kilichopo kwenye mpaka wa
wilaya hizo kutatua mgogoro wa mpaka Januari 18, 2017. Wapili kushoto
ni Mkuu wa mkoa wa Manyara, Dkt. Joel Bendera na wapili kulia ni Kaimu
Mkuu wa Mkoa wa Tanga na Mkuu wa Wilaya ya Tanga, Thobias Mwilapwa.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akizugumza na Waziri wa Ardhi, Nyumba na
Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi (kushoto) Mkuu wa Mkoa wa
Manyara, Dkt. Joel wakiwa katika kijiji cha Lembapuli kilichopo kwenye
mpaka wa wilaya ya Kiteto na Kilindi leo 18, 2017. Mheshimiwa
Majaliwa alikwenda Kiteto na Kilindi kutatua mgogoro wa mpaka
unaovikabili vijiji vya Mafisa na Kijungu. Wapili kushoto ni Kaimu Mkuu
wa Mkoa wa Tanga na Mkuu wa Wilaya ya Tanga mjini , Thobias Mwilapwa
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akipata maelezo kuhusu ramani inayoonyesha mpaka
wa wilaya ya Kilindi na Kiteto katika kijiji cha mpakani cha
Lembapuli wakati alipokwenda kutatua mgogoro wa mpaka kati ya wialya
hizo Januari 18, 2017. Mheshimiwa Majaliwa apia alifuatana na Mawaziri
, William Lukuvi wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya makazi na George
Simbachawene wa Ofisi ya Rais- TAMISEMI.
Waziri
Muu, Kassim Majaliwa akizugumza na Waziri wa Ardhi, Nyumba na
Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi (kushoto) Mkuu wa Mkoa wa
Manyara, Dkt. Joel wakiwa katika kijiji cha Lembapuli kilichopo kwenye
mpaka wa wilaya ya Kiteto na Kilindi Januari 18, 2017. Mheshimiwa
Majaliwa alikwenda Kiteto na Kilindi kutatua mgogoro wa mpaka
unaovikabili vijiji vya Mafisa na Kijungu. Wapili kushoto ni Kaimu Mkuu
wa Mkoa wa Tanga na Muu wa Wilaya ya Tanga mjini , Thobias Mwilapwa.(PICHA NA OFISI YA WAZIRI MKUU)
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269