Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akizindua barabara ya Mwanakwerekwe hadi Fuoni
yenye urefu wa kilomita 4.1 iliyopo Zanzibar Januari 11, 2017. Kushoto
ni Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Usafirishaji, Ali Karume .
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akifurahia baada ya kuzindua barabara yenye urefu
wa kilomita 4.1 ya kutoka Mwanakwerekwe hadi Fuoni Zanzibar ikiwa ni
moja ya shughuli za sherehe za Mapinduzi ya Zanzibar, Januari 11, 2017.
Katikati ni Waziri wa Nchi Afisi ya Makamu wa Pili wa rais wa Zanzibar,
Mohammed Abood na Kulia ni Mkuu wa mkoa waMjini Magharibi, Mohammed
Mahmoud.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akiwapungia wananchi wa Zanzibar wakati
alipowasili kwenye eneo la Barabara ya Mwanankwerekwe hadi Fuoni
kufungua barabara hiyo yenye urefu wa Kilomita 4.1 Januari 11, 2017.
Kushoto ni Waziri wa Ujenzi, , Mawasiliano na Usafirishaji, Ali Karume.
Baadhi ya
wananchi wa Zanzibar wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati
alipozungumza baada ya kuzindua barabara ya Mwanakwerekwe hadi Fuoni
yenye urefu wa Kilomita 4.1 ilyopo Zanzibar Januari 11, 2017.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akishiriki katika dua iliyosomwa baada ya kuzindua
barabara ya Mwanakwerekwe hadi Fuoni yenye urefu wa Kilomita 4.1
iliyopo Zanzibar Januari 17, 2017.Wengine pichani kutoka kushoto ni
Spika wa Baraza la Wawakilishi, Zubri Ali Maulid, Mkuu wa Mkoa wa
Mjini Magharibi, Mohammed Mahmoud na kulia ni Waziri wa Ujenzi,
Mawsiliano na Usafirishaji, Ali Karume. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269