Breaking News

Your Ad Spot

Jan 25, 2017

POLEPOLEA ATEMBELEA MAGAZETI YA UHURU, MTANZANIA NA UHURU FM, LEO

 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi, Humphrey Polepole, leo amefanya ziara ya kikazi katika Vyombo vitatu vya Habari vya Kampuni za Uhuru Publications Ltd, Wachapishajiwa Magazeti ya Uhuru,Mzalendo na Burudani, Peoples Media ya Uhuru FM na New Habari Corporation, Wachapishaji wa Magazeti ya Mtanzania, Rai na Dimba. Pichani, Polepole akizungumza na Wafanyakazi na viongozi wa kampuni ya Uhuru Publications Ltd, wakati wa ziara hiyo.
 Polepole akiingia katika Ofisi za Uhuru Publications Ltd, zilizopo Mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam, leo. Kulia ni Kaimu Katibu Msaidizi Mkuu wa Idara ya Itikadi na Uenezi, Gabriel Athuman
 Polepole akimsalimia Suleiman Jongo alipokuwa akisalimia wafanyakazi wa Uhuru Publications Ltd, baada ya kuwasili kwenye Ofisi za Kampuni hiyo leo
 Polepole akimsalimia Grace alipokuwa akisalimia wafanyakazi wa Uhuru Publications Ltd, baada ya kuwasili kwenye Ofisi za Kampuni hiyo leo
 Polepole akimsalimia mmoja wa wafanyakazi wa Uhuru Publications Ltd, baada ya kuwasili kwenye Ofisi za Kampuni hiyo leo
 Kaimu Mhariri Mtendaji wa Uhuru Publications Ltd, Ramadhani Mkoma (kushoto) akimtambulisha baadhi ya Viongozi wa UPL kwa Polepole
 Polepole akifafanua jambo alipokuwa akizungumza Ofisi kwa Kaimu Mhariri Mtendaji wa UPL 
 Polepole (kulia) akizungumza na Kaimu Mhariri Mtendaji Ramadhani Mkoma (kushoto) alipokuwa katika ziara hiyo leo
 Wafanyakazi wa UPL wakisimama kumlaki Polepole alipoingia kwenye chumbacha habari ili uzungumza nao
 Katibu wa NEC, Itkadi na Uenezi Polepole akizungumza na wafanyakazi wa UPL leo
UHURU FM
 Katibu wa NEC Itkadi na Uenezi, Humphrey Polepole akipanda ngazi kuingia katika Ofisi za Uhuru FM leo
 Kaimu Mkurugenzi wa Uhuru FM, Angel Akilimali akimpa Polepole kitabu cha wageni ili asaini
 Akilimali akitoa maelezo machache kumkaribisha Polepole
 Akilimali akimkabidhi Polepole taarifa kuhusu Uhuru FM
 Baadhi ya Maofisa Kutoka Makao Makuu ya CCM, na wafanyakazi wa Uhuru FM wakiwa katika Ofisi ya Akilimali
 Polepole akiwa tayari kuzungumza na Wafanyakazi wa Uhuru FM
 Akilimali akitambulisha ugeni wa Polepole kwa wafanyakazi wa Uhuru FM
 Polepole akizungumza na wafanyakazi wa Uhuru FM
 Wafanyakazi wa Uhuru FM wakimskiliza Polepole
 Wafanyakazi wa Uhuru FM wakimsikiliza Polepole
NEW HABARI CORPORATION 
 Mhariti Mtendaji wa New Habari Corporation Absalom Kibanda akimkaribisha Polepole katika Ofisi za Kampuni hiyo, Sinza jijini Dar es Salaam
 Polepole akimsalimia Msanifu wa Habari wa kampuni hiyo, Hamis Mkotya
 Polepole akimsalimia Mwandishi wa siku nyingi Mzee Makaranga
 Polepole akizungumza na wafanyakazi na viongozi wa New Habari Corporation
 Baadhi ya wafanyakazi wa New Habari Corporation wakiwa wamesimama kumshuhudia Polepole 
 Polepole akiondoka katika Chumba cha Habari cha New Habari Corporation
 Polepole akimsalimia Mhariri Mkuu wa gazeti la Mtanzania
 Kibanda akizungumza na Polepole  katika Ofisi za New Habari Corporation
 Deus Mhagale na mfanyakazi mwenzake wakimfurahia mpigapicha aliyefuatana na Polepole 
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Humphrey Polepole akifafanua jambo katika mazungumzo na Mhariri Mtendaji wa New Habari Corporation Absalom Kibanda. Picha zote na Bashir Nkoromo)

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages