Breaking News

Your Ad Spot

Jan 14, 2017

POLISI WAFANYA UKAGUZI KATIKA KUTUO KIKUU CHA MABASI UBUNGO

Mkaguzi wa Magari wa Jeshi Polisi, Ibrahim Samwi, akikagua basi la yenye namba za usajili T 735 DFX Polisi walipofanya ukaguzi wa mabasi mbalimbali yandayo mikoani na baaadhi ya nchi za nje, katika Kikituo Kikuu cha mabasi hayo cha Ubungo jijini Dar es Salaam. PICHA ZAIDI/>BOFYA HAPA

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages