Jina la mfanyabishara maarufu la Mustafa Jaffer
Sabodo, siyo geni linapotajwa katika masikio ya Watazania walio wengi.
Hii ni kutokana na mchango wake kwa
jamii katika kuliondoa taifa kutoka sehemu moja ya chini kwenda juu, yaani
maendeleo.
Sabodo mfanyabiashara maarufu ambaye ni
Mtanzania mwenye asili ya Kiasia amekuwa akitoa mchango kwa maendeleo ya Taifa
katika nyanja mbalimbali kuanzia za uchumi, siasa, elimu, afya, maji na..Inaendelea/>BOFYA
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269