Waziri
wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe, January
Makamba akiwasili katika Chuo Kikuu cha Mzumbe kwa ajili ya Kikao kazi
cha Menejimenti ya Ofisi yake. Kushoto ni Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu
wa Rais Prof. Faustin Kamuzora.
Waziri
wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe, January
Makamba (kushoto) akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa
Rais Eng, Ngosi Mwihava mara baada ya kuwasili katika Chuo Kikuu cha
Mzumbe kwa ajili ya Kikao kazi cha Menejimenti ya Ofisi yake.
Sehemu
ya Menejimenti timu wakimsikiliza Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais
Muungano na Mazingira Mhe, January Makamba kabla ya kuanza kikao kazi
katika Ukumbi wa Mikutano wa Chuo Kikuu cha Mzumbe mjini Morogoro.
Katibu
Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Prof. Faustin Kamuzora (kulia) na Eng.
Bonaventure Baya Mkurugenzi Mkuu (NEMC) wakifuatilia hotuba ya ufunguzi
katika kikao kazi kinachoendelea katika Ukumbi wa Chuo Kikuu cha Mzumbe.
Mkurugenzi
Msaidizi Idara ya Sera na Mipango Bw. Ntime Mwalyambi akiwasilisha mada
katika kikao kazi kinachoendelea katika Ukumbi wa Mikutano wa Chuo
Kikuu cha Mzumbe.
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269