Breaking News

Your Ad Spot

Mar 6, 2017

RAIS DK. SHEIN AWASILI INDONESIA, KUHUDHURIA MKUTANO WA IORA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein  akiwa katika ukumbi wa watu mashuhuri,  baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Soekarno -Hatta Jakarta nchini humo, kuhudhuria Mkutano wa Jumuiya ya Nchi zinazopakana na Bahari ya Hindi (IORA) kumwakilisha Rais John Magufuli

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages