Breaking News

Your Ad Spot

Jul 27, 2017

BIASHARA HARAMU YA BINADAMU

Katibu wa Kamati ya Kuzuia Usafirishaji Haramu wa Binadamu, Seperatus Fella, akizungumza kwenye mkutano na wajumbe wa Kamati na Sekretarieti ya Kitaifa ya Kuzuia na Kupambana na Biashara Haramu ya Usafirishaji Binadamu,l engo ikiwa ni kupitia Sheria mbalimbali zinazosimamia kudhibiti biashara hiyo.  Wengine ni Mwenyekiti wa kamati hiyo na Mkurugenzi Mradi wa kuzuia biashara hiyo kutoka Taasisi ya Kimataifa ya RTI, Dk. Lyungai Mbilinyi. Mkutano huo umefanyika katika Ukumbi wa Makao Makuu ya Jeshi la Polisi, jijini Dar es Salaam

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages