Breaking News

Your Ad Spot

Jul 7, 2017

KATIBU WA BARAZA LA MAWAZIRI AFARKI DUNIA

Habari tulizozipata hivi punde zimedai kuwa Karani wa Baraza la Mawaziri, Hassan Shebuge (pichani) amefariki dunia.  

Hata hivyo kwa kuwa habari hizi hazijathibitishwa  rasmi tunafuatilia ili kuwapasha taarifa rasmi itakayojiri.
Karani huyu ni yule ambaye kusimama sambamba na Katibu Mkuu Kiongozi wakati Rais akitoa kiapo kwa mteule.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages