Breaking News

Your Ad Spot

Jul 11, 2017

TAASISI YAUNGA MKONO TAMKO LA JPM

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya James Foundation Leonard Manyama (kulia) akisisitiza jambo kwa waandishi wa habari wakati akitoa tamko la kuunga mkono kauli ya Rais Magufuli kuhusu kutowarejesha shuleni wanafunzi wanaopata ujauzito, kushoto ni Mchungaji Bartholomew  Sheygah toka Kanisa la Faith Community. Picha na Eliphace Marwa - Maelezo

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages