Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu
Hassan akisalimiana na Mkurugenzi wa WFP nchini Bw. Michael Danford
wakati akiwasili kwenye ufunguzi wa Mkutano wa Taifa wa Urutubishaji wa
Chakula uliofanyika kwenye kituo cha Mikutano Cha Kimataifa cha Julius
Nyerere jijini Dar Es Salaam. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu
Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na watoto kwenye ufunguzi wa Mkutano wa
Taifa wa Urutubishaji wa Chakula uliofanyika kwenye kituo cha Mikutano
Cha Kimataifa cha Julius Nyerere jijini Dar Es Salaam. (Picha na Ofisi
ya Makamu wa Rais)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu
Hassan akihutubia wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Taifa wa Urutubishaji
wa Chakula uliofanyika kwenye kituo cha Mikutano Cha Kimataifa cha
Julius Nyerere jijini Dar Es Salaam. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu
Hassan akikata keki iliyopikwa kwa unga wa mahindi wenye vitamini A na
ngano mara baada ya ufunguzi wa Mkutano wa Taifa wa Urutubishaji wa
Chakula uliofanyika kwenye kituo cha Mikutano Cha Kimataifa cha Julius
Nyerere jijini Dar Es Salaam. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
Your Ad Spot
Aug 23, 2017
Home
Unlabelled
MAKAMU WA RAIS AFUNGUA MKUTANO WA SIKU MBILI WA TAIFA WA URUTUBISHAJI WA CHAKULA
MAKAMU WA RAIS AFUNGUA MKUTANO WA SIKU MBILI WA TAIFA WA URUTUBISHAJI WA CHAKULA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269