Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Rodrick Mpogoro
akifungua Mafunzo elekezi kwa Makatibu wa Umoja wa
Vijana wa CCM mikoa ya Tanzania Bara na Visiwani katika ukumbi wa Kamati Kuu Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba Dar es salaam.
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM Sadifa Juma Khamisi akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo elekezi kwa makatibu wa umoja wa Vijana wa CCM mikoa ya Tanzania bara na Visiwani katika ukumbi wa kamati kuu ofisi ndogo ya CCM Lumumba Dar es salaam
Kaimu Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Shaka Hamdu Shaka akizungumza katika Mafunzo hayo
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM Sadifa Juma Khamisi akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo elekezi kwa makatibu wa umoja wa Vijana wa CCM mikoa ya Tanzania bara na Visiwani katika ukumbi wa kamati kuu ofisi ndogo ya CCM Lumumba Dar es salaam
Kaimu Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Shaka Hamdu Shaka akizungumza katika Mafunzo hayo
washiriki wa mafunzo elekezi wakifuatilia mafunzo
Mshiriki Katibu wa umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi mkoa wa Kilimanjaro Abdulrahim Hamid akiuliza swali wakati wa Mafunzo
elekezi kwa makatibu wa umoja wa Vijana wa CCM mikoa ya Tanzania Bara
na Visiwani katika ukumbi wa kamati kuu ofisi ndogo ya Ccm Lumumba dar
es salaa.(PICHA ZOTE NA FAHADI SIRAJI)
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269