Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa amesimama
pamoja na mgeni wake Rais wa Misri Abdel Fattah Al Sisi wakati wa nyimbo za
mataifa mawili zikipigwa katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius
Nyerere(JNIA). Rais huyo wa Misri ameondoka mara baada ya kumaliza ziara yake
ya siku mbili hapa nchini
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Dkt. John Pombe Magufuli akimsindikiza mgeni wake Rais wa Misri Abdel Fattah Al
Sisi wakati akielekea kupanda ndege mara baada ya kumaliza ziara yake ya siku
mbili hapa nchini
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Rais wa
Misri Abdel Fattah Al Sisi mara baada ya kumaliza ziara yake ya siku mbili
nchini.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Rais wa
Misri Abdel Fattah Al Sisi mara baada ya kumaliza ziara yake ya siku mbili
nchini.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Rais wa
Misri Abdel Fattah Al Sisi mara baada ya kumaliza ziara yake ya siku mbili
nchini.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akicheza nyimbo za kikundi cha matarumbeta
kilichokuwa kikitumbuiza katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere
mara baada ya kumsindikiza mgeni wake Rais wa Misri Abdel Fattah Al Sisi ambaye
ameondoka mara baada ya kumaliza ziara yake ya siku mbili nchini.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akicheza nyimbo za kikundi cha matarumbeta
kilichokuwa kikitumbuiza katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere
mara baada ya kumsindikiza mgeni wake Rais wa Misri Abdel Fattah Al Sisi ambaye
ameondoka mara baada ya kumaliza ziara yake ya siku mbili nchini.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akicheza nyimbo za kikundi cha matarumbeta
kilichokuwa kikitumbuiza katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere
mara baada ya kumsindikiza mgeni wake Rais wa Misri Abdel Fattah Al Sisi ambaye
ameondoka mara baada ya kumaliza ziara yake ya siku mbili nchini.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akicheza nyimbo za kikundi cha matarumbeta
kilichokuwa kikitumbuiza katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere
mara baada ya kumsindikiza mgeni wake Rais wa Misri Abdel Fattah Al Sisi ambaye
ameondoka mara baada ya kumaliza ziara yake ya siku mbili nchini.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akicheza nyimbo za kikundi cha matarumbeta
kilichokuwa kikitumbuiza katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere
mara baada ya kumsindikiza mgeni wake Rais wa Misri Abdel Fattah Al Sisi ambaye
ameondoka mara baada ya kumaliza ziara yake ya siku mbili nchini.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na
Mbunge na Waziri wa zamani wa Mambo ya nje wa Japan Ichiro Aisawa aliyefika
Ikulu kwa ajili ya mazungumzo
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika mazungumzo
na Mbunge na Waziri wa zamani wa Mambo ya nje wa Japan Ichiro Aisawa Ikulu
jijini Dar es Salaam.
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269