Breaking News

Your Ad Spot

Sep 18, 2017

MWAKILISHI NA MBUNGE JIMBO LA TUNGUU WATOA FEDHA KWA VIKUNDI 13 VYA USHIRIKA SHEHIA ZA UNGUJA UKUU

Mwakilishi wa Jimbo Tunguu Zanzibar Simai Mohammed Said akizungumza na wananchi wa Jimbo lake katika Tawi la CCM Unguja Ukuu Kae Pwani Wilaya ya Kati Unguja wakati wa hafla ya kukabidhi fedha Vikundi 13 vya Ushirika vya Wananchi wa Kae Pwani Unguja. Mchango huo umetolewa na Mbunge na Mwakilishi kuchangia vikundi hivyo kwa ajili ya kutunisha mifuko ya vikundi vya vinavyojishughulisha na ujasiriamali wa kutengeneza bidhaa na kilimo na kukupeshana, hafla hiyo imefanyika katika Tawi la CCM Ungua Ukuu Kae Pwani.
 Vikundi vilivyokabidhiwa fedha hizo ni Tushikamane, Hatutaki Shari, Nia Njema, Aso Mtu Ana Mungu, Siri Moyoni, Tuwe Nao, Pita na Zako, Hatutaki Kero, Hapa Kazi Tu, Mkorofi Sio Mwezetu, Hawavumi, Imani na Wajibu Wetu.
Baadhi wa Viongozi wa Vikundi vya Ushirika katika Shehia za Kae Pwani Unguja Ukuu Wilaya ya Kati Unguja wakati wa hafla hiyo.  
Sheha wa Shehia ya Kae Pwani Ndg. Khamis Ibrahim akizungumza wakati wa hafla hiyo ya kukabidhi fedha kwa Vikundi vya Ushirika vua Shehia hiyo zilizotolewa na Mbunge na Mwakilishi wa Jimbo hilo la Tunguu Zanzibar, hafla hiyo imefanyika katika Tawi la CCM Unguja Ukuu Kae Pwani.
Mwakilishi wa Jimbo la Tunguu Zanzibar Mhe. Simai Mohamrd Said akimkabidhi fedha Mwenyekiti wa Kikundi cha Tushikamano wakati wa hafla hizo kukabidhi fedha hizo zilizotolewa na Mbunge na Mwakilishi kutunisha Mfuko wa Kikundi Chao.. 
Mwakilishi wa Jimbo la Tunguu Zanzibar Mhe. Simai Mohamrd Said akimkabidhi fedha Mwenyekiti wa Kikundi cha Aso Mtu Ana Mungu, wakati wa hafla hizo kukabidhi fedha hizo zilizotolewa na Mbunge na Mwakilishi kutunisha Mfuko wa Kikundi Chao.. 
Mwakilishi wa Jimbo la Tunguu Zanzibar Mhe. Simai Mohamrd Said akimkabidhi fedha Mwenyekiti wa Kikundi cha Tuwe Nao,wakati wa hafla hizo kukabidhi fedha hizo zilizotolewa na Mbunge na Mwakilishi kutunisha Mfuko wa Kikundi Chao.. 
Baadhi ya Viongozi wa Vikundi vya Ushirika wakifuatilia hafla hiyo. ya kukabidhiwa fedha kutunisha mfuko wa vikundi vya jumla ya vikundi 13 vimekabidhiwa fedha taslim zilizotolewa na Mbunge na Mwakilishi wa Jimbo lao la Tunguu Zanzibar. Vikundi vilivyokabidhiwa fedha hizo ni Tushikamane,Hatutaki Shari, Nia Njema,Aso Mtu Ana Mungu,Siri Moyoni, Tuwe Nao,Pita na Zako,Hatutaki Kero,Hapa Kazi Tu, Mkorofi Sio Mwezetu,Hawavumi, Imani Moja na Wajibu Wetu.
Mwakilishi wa Jimbo la Tunguu Wilaya ya Kati Unguja Mkoa wa Kusini Mhe. Simai Mohammed Said akizungumza baada ya kukabidhi fedha kwa Vikundi vya Ushirika vya Kae Pwani Unguja Ukuu Unguja fedha hizo zimetolewa kwa pomoja yeye na Mbunge wake kwa ajili ya Wananchi wa Jimbo lao kukuza Mtaji wa Vikundi vyao vya ushiriki vinavyojishughulisha na kilimo cha mboga mbogo, kuweka na kukopa na vikundi vya Ujasiriamali, hafla hiyo imefanyika katika Tawi la CCM uNGUJA Ukuu Kae Pwani.
Baadhi ya Viongozi wa Vikundi vya Ushirika wakifuatilia hafla hiyo. ya kukabidhiwa fedha kutunisha mfuko wa vikundi vya jumla ya vikundi 13 vimekabidhiwa fedha taslim zilizotolewa na Mbunge na Mwakilishi wa Jimbo lao la Tunguu Zanzibar. Vikundi vilivyokabidhiwa fedha hizo ni Tushikamane,Hatutaki Shari, Nia Njema,Aso Mtu Ana Mungu,Siri Moyoni, Tuwe Nao,Pita na Zako,Hatutaki Kero,Hapa Kazi Tu, Mkorofi Sio Mwezetu,Hawavumi, Imani Moja na Wajibu Wetu.
Mwenyekiti wa Tawi la CCM Kae Pwani Ndg.Ali Muhidini akizungumza na kutoa nasaha zake kwa Wananchi wa Vikundi vya Ushiriki kushikamano na kuvikuza vikundi vya katika kujiletea maendeleo ya kipato kupitia katika vikundi vyao.
Katibu wa CCM Tawi la CCM Kae Pwani Ndg. Daruweshi Ali akizungumza wakati wa hafla hiyo ya kukabidhi fedha Vikundi 13 vya Ushirika katika Shehia ya Kae Pwani.
Mwakilishi wa Jimbo la Tunguu Mhe. Simai Mohammed Said akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa CCM Tawi la Kae Pwani na Viongozi wa Vikundi vya Ushirika vya Shehia hizo mbili za Kae Pwani.
Mwakilishi wa Jimbo la Tunguu Mhe. Simai Mohammed Said akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa CCM Tawi la Kae Pwani na Viongozi wa Vikundi vya Ushirika vya Shehia hizo mbili za Kae Pwani
Mwakilishi wa Jimbo la Tunguu Mhe. Simai Mohammed Said akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa CCM Tawi la Kae Pwani na Viongozi wa Vikundi vya Ushirika vya Shehia hizo mbili za Kae Pwani
Mwakilishi wa Jimbo la Tunguu Zanzibar Mhe Simai Mohammed Said akimsalimia Mtoto Mulhat Ai Ramadhani wakati alipofanya ziara kutembelea Wananchi wa Jimbo lake la Tunguu na kukabidhi fedha kwa vikundi 13 ili kutunisha mfuko wa vikundi vyao, katika shehia ya Kae Pwani Unguja Ukuu Wilaya ya Kati Unguja.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages