Breaking News

Your Ad Spot

Sep 21, 2017

SEKRETARIETI YA CCM CHINI YA KINANA YAFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE WA KAMATI KUU YA CHAMA CHA KIKOMUNISTI CHA VIETNAM MJINI DODOMA, LEO

 Katibu Mkuu wa CCM abdulrahman Kinana akisalimiana na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Kikomunisti cha Vietnam Chau Van Lam alipoasili kwa ajili ya mazungumzo na Sekretarieti ya CCM chini ya Kinana, leo katika ukumbi wa Kamati Kuu ya CCM, ndani ya Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete nje kidogo ya mji wa Dodoma. Kulia ni Naibu Katibu Mkuu wa CCM-zanzibar Jumanne Mabodi. Katikati ni katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Kanali Mstaafu Ngemela Lubinga.
 Kiongozi huyo akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Jumanne Mabodi
 Kiongozi huyo akiendelea kusalimia viongzi wa CCM
 Kiongozi huyo akiendelea kusalimia viongozi wa CCM
 Kiongozi huyo akisalimiana na Kaimu Katibu Mkuu wa UVCCM Shaka Hamdu Shaka
 Kiongozi huyo akimsalimia Katibu Mkuu wa Jumuia ya Wazazi ya CCM
 Kinana akimpeleka mgeni wake eneo la kufanyia mazungumzo
 Mazungumzo yakianza
 Mazungumzo yakiendelea
 Mazungumzo yakiendelea
 Kinana akitambulisha ujumbe wake kwa mgeni
 Katibu wa CCM mkoa wa Dodoma akizungumza na mwandishi wa Uhuru Fm aliyekuwa akifuatilia mazungumzo hayo
 Ujumbe wa CCM kwenye mazungumzo hayo
 Chau akimpa zawadi Kinana baada ya mazungumzo hayo
 Kinana akimshukuru kwa zawadi mgeni huyo
 Chau akimpa zawadi nyinyine Kinana
 Chau akimpa zawadi ya Kitabu cha misingi ya Kimunisti cha Veitnam, Kinana
 Chau akizawadia Kinana tarumpeta la kisili ya Veitnam
 Kabla ya kumkabidhi akaliungurumisha kidogo
 Kinana akaipokea zawadi
 Kisha Kinana akaonyeshwa kidogo namna ya kuliungurumisha
 Kisha akalipuliza kwa uhodari
 Kinana akapewa zawadi ya kofia ya asili ya Kivietnam
 Akaipokea kwa furaha kofia hiyo
 Kisha akaivaa kofia hiyo akiifurahia 
 Akaendelea kuifurahia kofia hiyo 
 Kinana akajibu mapigo na yeye kwa kumpa zawadi ya picha maridhawa ya kuchorwa
 Chau akaipokea zawadi hiyo kwa furaha
 Kinana akimweleza Chau undani wa picha hiyo
 Kisha ikapigwa picha ya pamoja 
 Kinana akaagana na mgeni wake
 Kinana akimsindikiza mgeni wake baada ya mazungumzo hayo 
 Ngemela akizungumza na waandishi kuwajulisha kilichojiri kwenye mazungumzo hayo
ZIFUATAZO NI PICHA ZA MAPOKEZI CHAU ALIPOWASILI DODOMA











No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages