Breaking News

Your Ad Spot

Feb 12, 2018

MIC TATA KUKUTANISHA BONGO FLAVA, SINGELI, TAARABU NA HIP HOP JUKWAA MOJA


 Barnaba

 Dulla Makabila

 Manfongo

 Amigo
Joh Makini
Inspector Haroun

Uhuru FM kwa kushirikiana na Darlive inakuletea tamasha la Muziki  lijulikanalo kama MIC TATA litakalokutanisha miamba ya Muziki hapa  nchini litakalofanyika katika ukumbi wa Darlive-Mbagala Zakyeem Februari 24 Mwaka huu.

Mratibu wa show hiyo Said Ambua , amesema Wasanii watakaokutanishwa katika tamasha hilo la MIC TATA ni wa Bongo Flava, Singeli, Taarabu na Hip Hop.

Katika tamasha hilo la Muziki wasanii watakaokuwepo ni Barnaba, Inspector Haroun, Manfongo, Dula Makabila, Joh Makini kutoka Weusi na  kwa upande wa taarabu ni Amigo.

Tamasha hilo ambalo kiingilio chake ni shilingi 5,000 litafanyika kuanzia Saa Mbili usiku.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages