Breaking News

Your Ad Spot

May 24, 2011

SIASA ZINAPOINGIZWA NDANI YA MABWENI CHUO KIKUU CHA DODOMA

Wanafunzi wa Sayansi ya Jamii, Chuo Chadema walizopamba katika chumba chao namba 0388 kwenye chuo hicho leo 
Upande mwingine wa chumba hicho pamepambwa kama unavyoweza kuona upande wa kushoto nembo za Chadema na Picha ya Katibu Mkuu wa Chama hicho Dk. Slaa. Kwa mujibu wa sheria wanafunzi wa vyuo, sekondari na msingi hawaruhusiwi kuendesha siasa katika maeneo hayo, ingawa wanaruhusiwa kuwa wanasiasa nje ya chuo.
Jengo la Utawala UDOM

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages