Kwa ufupi nduye muasisi wa kuvuma kwa burudani ya muziki wa madisko katika jiji la Dar es salaam, miaka ya 80, alipokuwa akipiga katika kumbi za Rungwe Oceanic na baadaye Moon Dust. Alikuwa mwanzilishi wea mashindano ya kwanza kabisha nchini ya kucheza disco yaliweza kuwaibuka kina Black Mosses (Narehemu) na Ommy Sidney. Ina Lillah Waina Ilayh Rajuun! au vipi?
Your Ad Spot
Dec 16, 2009
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269