Breaking News

Your Ad Spot

Feb 26, 2010

JOTI WA ORIJINO KOMEDI BADO AMELAZWA MUHIMBILI

AZUNGUMZIA HALI YA KE, ASEMA HAJAMBO
MSANII wa Orijino Komedi, Lucas Mhuvile 'Joti' aliyeumia shigo na kupata michubuko kadhaa mikononi, wakati akiwa kazini hivi karibuni, akijuliwa hali na jamaa zake, wodini alikolazwa katika Taasisi ya Mifupa Muhimbili (MOI), Muhimbili, Dar es Salaam. Kuhusu hali yake msanii huyo alimwambia mpigapicha Wetu kwamba anaendelea vema.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages