Breaking News

Your Ad Spot

Feb 19, 2010

KUTOKA MBEYA ......

VIJANA wakiwa katika chachandu la kutafuta riziki yao ya siku, kwa kubeba magazeti katika mkokoteni, kwa ajili ya kwenda kuyagawa kwa mawakala, kama walivyonaswa na kamera ya mdau wa Chachandu-Daily, jirani na ofisi za Posta, mjini Mbeya.


LICHA ya baadhi ya maeneo nchini kuwa na uhaba wa chakula, hali ni tofauti wilayani Rungwe, mkoa wa Mbeya ambapo ndizi zimekuwa ni nyingi sokoni lakini wateja hakuna kama  ilivyoshuhudiwa  na mdau wa Chachandu -daily mikungu kibaoooooo ikiwa haina wateja  katika soko lililopo Kiwira, wilayani humo.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages