Breaking News

Your Ad Spot

Feb 19, 2010

MAKAMBA NA UVCCM IRINGA

KATIBU Mkuu wa CCM, Yussuf Makamba, akisalimia na aliyekuwa Katibu wa Umoja wa Vijana wa CCM wa mkoa wa Morogoro, Lucia Mwiru ambaye ameteuliwa kuwa katibu wa CCM wa wilaya ya Korogwe mkoani Tanga,alipowasili katika viwanja vya Chuo cha Ihemi mkoani Iringa, juzi,kufungua Kambia ya UVCCM Taifa.( Picha na Anita Boma).

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages