Breaking News

Your Ad Spot

Feb 27, 2010

MKESHA WA MAULID USIKU WA KUAMKIA LEO

SHEIKH wa njia wa Dar es Salaam, Alhad Mussa akimkaribisha Mwanazuoni na Mnajimu maarufu. Sheikh Hussein Yahya kwenye Maulid ya Mtume Muhammad (SAW) kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja, Dar es salaam, usiku wa kuamkia leo.Sheikh wa mkoa wa Dar es Salaam,  Alhad Mussa akitoa mawaidha kwenye Maulidi hayo.Baadhi ya viongozi mashuhuri waliohudhuria Maulidi hayo
Sheikh Yahya Hussein akisoma Quran tukufu ikiwa ni sehemu ya ufunguzi wa Maulidi hayo yaliyofanyika viwanja vya Manazi Mmoja Dar es salaam usiku wa kuamkia leo.
Sheikh Mohamed Khamis akisoma mlango wa kwanza . Kichwani ni noti ya sh. 500 aliyotuzwa na waumini waliovutiwa na sauti yake katika kughani
Mmoja wa waumini akiwa ametulia na mtoto wake katikamaulidi hayo
Kina mama wakiwa kwenye Maulidi hayo kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja Dar es salaam usiku wa kuamkia leo.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages