Breaking News

Your Ad Spot

Feb 23, 2010

MSAJILI WA MAGAZETI ATEMBELEA OFISI ZA UHURU, MZALENDO NA BURUDANI LEO

Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya Uhuru Publications Ltd, Josiah Mufungo (kushoto) akimwonyesha Maktaba ya UPL, Mkurugenzi Msaidizi na Msajili wa Magazeti wa Idara ya Habari (Maelezo) wa pili (Kushoto)  Raphael Hokororo alietembelea Ofisi hiyo kwa ajili ya kujifunza,na wa pili((Kulia) ni Msajili Msaidizi wa Idara ya Habari Ndugu Ismail Ngayonga,aliefutana nae.Na wa kwanza (Kulia) ni Mkutubi wa Maktaba hiyo ndugu Mussa Hassan akielezea kitu kwa Mkurugenzi huyo leo jijini Dar.Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya Uhuru Publications Ltd,  Josiah Mufungo akiwa Ofisi kwake ( Kulia) wakati wa mazungumzo na Mkurugenzi msaidizi na Msajili wa Magazeti wa Idara ya Habari (Maelezo) wa (kwanza) jinsi Ofisi yake inavyofanya kazi ,Mkurugenzi huyo alienda kujifunza na kujua shughuli mbalimbali zinazofanywa na Gazeti la Uhuru .Na wa pili (kulia) ni Msajili Msaidizi wa Idara ya Habari Ndugu Ismail Ngayonga aliefuatana na Mkurugenzi huyo

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages