Breaking News

Your Ad Spot

Feb 22, 2010

MSEKWA AKUTANA NA BALOZI WA CUBA LEO

MAKAMU Mwenyekiti wa CCM (Bara) Pius Msekwa akimkaribisha Balozi wa Cuba nchini, Ernesto Gomez Diaz katika ofisi Ndogoi ya Makao Makuu ya CCM, mtaa wa Lumumba, Dar es Salaam, Balozi Diaz akieleza jambo katika mazungumzo yake na Msekwa leo
Balozi Diaz akimkabidhi mwaliko wa viongozi wa CCM wa ngazi za juu kwenda kutembelea Cuba, wakati wa mazungumzo hayo.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages