Breaking News

Your Ad Spot

Feb 22, 2010

PINDA AKAGUA KILIMO CHA UMWAGILIAJI IGUNGA, TABORA

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, akipata maelezo kuhusu bwawa la maji la Mwamapuli wilayani Igunga, Tabora kutoka kwa Mbunge wa Jimbo hilo, Rostam Aziz (wa tatu kulia) wakati alipokagua bwawa hilo linalotumika katika kilimo cha umwagiliaji. Wa pili kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Abeid Mwinyimussa. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages